Nimechoka kuwa mwembamba

duuuh sihitaji unene kamwe mamaeeee mambo ya kuvaa suti tu ndio upendeze siyataki mie
 
BMI yako ikoje? Tuanzie hapo kwanza.
 
Mkuu hii diet inazidi kipato changu.
Bola umeongea ukweli kukunepa kunakuja pale utakapo kua hulu kifikra hivyo kwa sasa inaweza kua ngumu kama utafutaji unasababisha msongo wa mawazo
 
Weka hizo mbinu siutaki unene unamatatizo mengi
 

Awe makini tu asi ongezee kichwaa baadala ya mwili mkuu
 
Mi binafsi napenda sana vimodo yani nikikiona tu huwa nasisimka.
 
Soda ya majiyakiwa baridi, ubaridi mwilini unasaidia nini????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…