stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,105
Tatizo langu nahisi linazidi kila nikimpenda mwanamke namkuta amenizidi UMRI mpaka nachoka nimeingia kwenye mahusiano wa kwanza tulikua miaka sawa ila tukashindwana wa pili kanizidi miaka miwili alafu tukazinguana sasa niko SINGO ila naogopa kuingia kwenye mahusiano tena kisa UMRI.
CANCELING PLEASE
CANCELING PLEASE