Tatizo langu nahisi linazidi kila nikimpenda mwanamke namkuta amenizidi UMRI mpaka nachoka nimeingia kwenye mahusiano wa kwanza tulikua miaka sawa ila tukashindwana wa pili kanizidi miaka miwili alafu tukazinguana sasa niko SINGO ila naogopa kuingia kwenye mahusiano tena kisa UMRI.
CANCELING PLEASE
Muwe mnaandika kiswahili si lazima kuandika kiingereza ilhali hujui..ujuaji mwingi mbele kiza..
Thread yako yaonesha ww bado ni kijana mdogo sana..komaa na maisha kwanza wapenzi watakuja tu..na ukumbuke UJANA NI MOTO...
kama kwa tofut ya miaka miwili unamwita sugamami, je angekuwa na umri wa mama yako ungemwitaje? Unaonekana umekurupukia neno usilolijua! Kubadilisha wanawake si ujanja maana si nguo ubadilishe kila ichafukapo! Usitudhalilishie dada zetu! Jipange kwanza!!!
subiri kubakwa tu sasa