Nimechoka na mashugamami...

Tatizo langu nahisi linazidi kila nikimpenda mwanamke namkuta amenizidi UMRI mpaka nachoka.... kisa UMRI.

CANCELING PLEASE

Pole sana kijana. Kwanza fanyia uhariri hilo neno "canceling" nadhani ulimaanisha "counselling".
Pili, sidhani kama uko serious na mahusiano, nahisi unajiingiza kwa ajili ya shinikizo, kuiga aumazingira tu. Nakushauri uachane kabisa na masuala hayo hadi pale utakapokuwa serious kwa mahusiano ya kudumu, yaani NDOA.
 
Sasa wewe si unatafuta utakaoweza kuwaegemea unafikiri mademu below your age wana kitu?,wachache sana,sanasana wewe ndo unatakiwa uhudumie,utaweza?
 
Sasa wewe si unatafuta utakaoweza kuwaegemea unafikiri mademu below your age wana kitu?,wachache sana,sanasana wewe ndo unatakiwa uhudumie,utaweza?

Hayo nayo maneno mkubwa ndio maana nimeomba ushauri
 
\

Counseling=CANCELING?, Uwezekano: wewe ni mdogo lakini umekosa lishe utotoni hivyo sura yako inaonekan kama mtu mzima ndiyo maana wanawake wakubwa wanakukubali, Ni vigumu kurekebisha hiyo hali ya kilishe kwa sasa. Ploe sana.
 

Kaka nakupa salute ila tatizo mawazo
 
\

Counseling=CANCELING?, Uwezekano: wewe ni mdogo lakini umekosa lishe utotoni hivyo sura yako inaonekan kama mtu mzima ndiyo maana wanawake wakubwa wanakukubali, Ni vigumu kurekebisha hiyo hali ya kilishe kwa sasa. Ploe sana.

Utanisaidiaje sasa mkubwa?
 
wewe acha utoto ma shuga mummy ndio yenyewe sio vitoto vidogo visumbufu tuu mara hela za vocha, saloon, ada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…