Nimechoka sasa hivi, Kwanini sipati wasichana wazuri?

Nimechoka sasa hivi, Kwanini sipati wasichana wazuri?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nikitongoza wadada wazuri na warembo kwa nguvu zangu zote hawanitaki lakini nina utitiri kama si nyota ya kupendwa na hata kutokewa (kupendwa) na wanawake wenye sura mbaya? Nimemkosea nini labda mwenyezi mungu?

Naombeni msaada jamani kwani hii kitu inaniumiza sana na nakosa amani na hata hivi ninavyoandika huu uzi kuna demu ananipigia lakini nikikumbuka tu sura yake natamani hata niivunjilie mbali simu japo pia naogopa nikiivunja hii simu nayo sina mtonyo wa kununua nyingine.

Kwani nyie wanaume wenzangu mnaotongoza mademu wazuri na warembo mnatumiaga nini labda cha ziada? Nipeni maujanja jamani kwani mwenzenu gentamycine nateseka moyo.
 
Yaani hii nayo ni issue ya kujadili hapa? Wewe unatongoza wanawake au unatongoza sura?
 
Mitishamba mkuu anakufuata mwenyewe, kama unataka tuma PM kwa babu wa loliondo
 
Ndo mama watanzania Ni maskini Sana, akili yako ndogo sana

Hata Ubadilishe ID Yako Vipi Mimi Nimeshakujua Wewe Ni Nani..........FF Wa Ushungi! Utanichukia Sana Mwaka Huu. Usiyempenda Kaja!
 
Akamtongoze mamaye

Najua Una Ban Ya Wiki Moko Hivyo Umeingia Na ID Yako Mpya Lakini Hata Ujibadilishe Vipi Mimi Nakujua Tu. au Unataka Niwafaidishe Watu Nikuumbue? Wewe Ni FF Mwenye Avatar Ya Kuvaa Ushungi. Nadhani Mpaka Hapa Utakuwa Umeshajijua. Utaninunia Sana Mwaka Huu!
 
Yaani hii nayo ni issue ya kujadili hapa? Wewe unatongoza wanawake au unatongoza sura?

Ungekuwa Na Akili Usingempoteza Muda Na Issue Isiyofaa Kujadiliwa Hapa Na Badala Yake Ndiyo Unanihakikishia Jinsi Ulivyo Bonge La POPOMA.
 
yaan hapo ni sawa ungesema ivi: "nitafanyaje ili nipate ukimwi?"au "nifanyaje ili nikifa niende motoni??" maana ndcho unachotafuta
 
Wanawake wazuri wanapapuchi mbili? Kwani wAnawake wazuri wana nini zaid ya wanawake wabaya, hizo sura nzuri unazozitaka nahisi ukizipata utajuta maana watu wengi wanazitaka. Komaa tu na watu wako unaosema wabaya hao ndo saiz yako hao wazuri watakupwelepeta.
Siku ukipata mzuri atakusumbua sana kijana
 
yaan hapo ni sawa ungesema ivi: "nitafanyaje ili nipate ukimwi?"au "nifanyaje ili nikifa niende motoni??" maana ndcho unachotafuta

Ukimwi kitu gana Bhana?
Kwani usiponanilihi haufi?
Isitoshe, ajali kibao siku hizi.
Bora tu kujilia vinono muda ukifika utakufa tu.
 
We jamaa una bahati ya kuletewa papuchi free halafu unaleta mapozi?? Hebu watendee haki hao wanaokupenda bhana na wao wajisikie faraja mioyoni mwao!
 
Back
Top Bottom