Nimechoka single boy

Joined
Oct 25, 2017
Posts
6
Reaction score
2
Kwajina naitwa Yusuph Omary Mlima miaka 28 nyumbani Morogoro khonda mafisa ila kwa sasa niko chalize mkoani Pwan kikaz natafuta mchumba umri 20-27 asiwe mnene wala mwembamba sana awe anajiheshimu awe na upendo wa dhat kwa aliye tial namba 0745847896
 
Kwajina naitwa Yusuph Omary Mlima miaka 28 nyumbani Morogoro khonda mafisa ila kwa sasa niko chalize mkoani Pwan kikaz natafuta mchumba umri 20-27 asiwe mnene wala mwembamba sana awe anajiheshimu awe na upendo wa dhat kwa aliye tial namba 0745847896
mtakujaga kuona na majini, ina maana huko uliko/kijijini kwenu hakuna wanawake!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza vitunguu swaumu kaka
wachache wamenielewa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…