Wakuu heshima kwenu nyote. Nimechomolewa waleti yenye Driving license, ATM card, vitambulisho vya kazini na hela. Msaada niuombao ni nianzie wapi ili niweze kupata hivi vitu vyangu?
Wakuu heshima kwenu nyote. Nimechomolewa waleti yenye Driving license, ATM card, vitambulisho vya kazini na hela. Msaada niuombao ni nianzie wapi ili niweze kupata hivi vitu vyangu?