Nimechoshwa na U.T.I naombeni msaada

Kweli miti shamba iko mingi sana haina chenga kwenye kutibu U.T.I hata iwe kongwe au ya kurithi. Brother na wewe achana na kina sikuzani tafuta kina angel, lucky, Nancy etc
Haaaaaa wewe bwana...sikuzani wana nini uwiii
 
aisee mimi nikikojoa mb*oo inawasha kinoma kwenye mrija wa mkojo. ni UTI pia? au ni Gono??? nipeni tiba mazee
 
aisee mimi nikikojoa mb*oo inawasha kinoma kwenye mrija wa mkojo. ni UTI pia? au ni Gono??? nipeni tiba mazee
Nenda Hospitali mkuu kwa vipimo. Ili ifahamike unatimu nini. epuka kujitibu.
 
Kama uko dar nenda jmall gholofa ya pili watafute Dynapharm watakupa dawa ,na UTI itabaki history kwako.
 
Una mshauri Mgonjwa wa UTI anywe Lita 3 na nusu duhhhh? atakuwa na tumbo la aina gani hilo kuweza kunywa Maji kwa siku Lita 3 na na nusu? Kazi kweli ipo hapo.😀😀😀
Mimi mwenyewe kila siku nakunywa namshaur kitu ambacho mimi mwenyewe nafanya
 
Katika hali ya kawaida hata uwe mnywaji wa Maji kiasi gani ila Lita 5 imeonekana wengi hawamalizi kwa siku. Akifanikiwa sana Lita 4. Ila kama anachukua likizo ataweza lakini sio akiwa kwenye pilikapilika za kutafuta hela daily. Kunywa mma wito kaka
Maji ni Lita 3 kwa siku chini ya 75kgs inategemea na uzito wako
 
Una mshauri Mgonjwa wa UTI anywe Lita 3 na nusu duhhhh? atakuwa na tumbo la aina gani hilo kuweza kunywa Maji kwa siku Lita 3 na na nusu? Kazi kweli ipo hapo.😀😀😀
Hanywi yote kwa muda mmoja kuna interval na sio mwenye U.T.I yoyote yule maji ni muhimu sana
 
Ila pia inaonyesha body immunity yako ipo. Chini
 
Jamani ebu nipeni ushauri kweli naweza kupona U.T.I na je ni njia gani nifuate nimechoka mwenzenu kupoteza hela zangu kila siku hosptali!
Nenda maduka ya waswahili ununue "uwatu" uchemshe unywe...maelezo pita grup la magonjwa na tiba asili facebook linaongozwa na mtu anayeita juma
 
Kama walivosema mtibiwe na mwenzi wako na kipindi cha matibabu mtumie condoms mpaka mkienda kurecheck iwe imeisha.

Kuna Baking Soda nusu kijiko unaweka kwenye 1 glass of warm water asubuhi with empty stomach kwa siku 7 mpaka siku 14 .

Nyingine mdalisini 1 teaspoon kwenye maji yaliyochemka then yakiwa uvugu vugu unaweka 2 tablespoons of honey with empty stomach

Hakikisha unakunywa maji mengi na unacheck mpaka iwe imeisha
 
Katika hali ya kawaida hata uwe mnywaji wa Maji kiasi gani ila Lita 5 imeonekana wengi hawamalizi kwa siku. Akifanikiwa sana Lita 4. Ila kama anachukua likizo ataweza lakini sio akiwa kwenye pilikapilika za kutafuta hela daily. Kunywa mma wito kaka
Majo ni kila kitu, anywe maji hata lita 6 inawezekana na ni kuamua tuu maana ni chupa kubwa 4 za klm,....maji pia yanatibu UTI kabisa na inaisha
 
Tumia Dose zote mbili kwa siku Saba tu humaliza uti sugu ulete mrejesho Kama utatumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…