15 glasses of water everyday equivalent to 3.6 litres of water.90 onwards wanatakiwa kunywa ngapi?
Nenda hospital inayoeleweka waelezee dawa gani umetumia na mara ngapi imejirudia. Ikilazimu inabidi upigwe sindano flani inayochomwa ktk mishipa ya damu moja kwa moja. Kuna uwezekano mkubwa mara zote inakuwa haujapona kabisa . Unamaliza dozi vizuri bila kukatisha ukipata nafuu? Au haurki ruki masaa ya kunywa dawa?Jamani ebu nipeni ushauri kweli naweza kupona U.T.I na je ni njia gani nifuate nimechoka mwenzenu kupoteza hela zangu kila siku hosptali!
Unapoanza kunywa doz mpe na mpenz wako na michepuko yako yote....ili mpone wote ndo muanze tena ngono zembeJamani ebu nipeni ushauri kweli naweza kupona U.T.I na je ni njia gani nifuate nimechoka mwenzenu kupoteza hela zangu kila siku hosptali!
Wakina dada lazima mjue dawa za huu ugonjwaKama walivosema mtibiwe na mwenzi wako na kipindi cha matibabu mtumie condoms mpaka mkienda kurecheck iwe imeisha.
Kuna Baking Soda nusu kijiko unaweka kwenye 1 glass of warm water asubuhi with empty stomach kwa siku 7 mpaka siku 14 .
Nyingine mdalisini 1 teaspoon kwenye maji yaliyochemka then yakiwa uvugu vugu unaweka 2 tablespoons of honey with empty stomach
Hakikisha unakunywa maji mengi na unacheck mpaka iwe imeisha
naoga mara4 kwa sikuUsafi muhimu
Kwa maisha ya TZ kubadilisha na routine ya usafi unatufix. But take care na wapenzi wako.naoga mara4 kwa siku
nabadili chupi mara4
sinawii sabuni kwenye k
nikienda chooni namwaga maji nikimaliza haja nanawa namwaga maji then najikausha ..
nakunywa maji lita 3 au na nusu kwa siku.
sijipulizii pafyumu ukeni wala sipaki lotion, wala misk wala madura stick...
napiga deki chooni kutwa mara3
hatukai wengi.
tatizo nini?