Nimechoshwa na vipaza sauti vya misikiti na makanisani,hiki ndo nachoenda kukifanya kukomesha hizi kelele

Nimechoshwa na vipaza sauti vya misikiti na makanisani,hiki ndo nachoenda kukifanya kukomesha hizi kelele

My Honest Book

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
1,363
Reaction score
2,161
Mimi binafsi naomba kutangaza kuchoshwa na hivi vipasa sauti vya misikiti na makanisa..

Kinachonishangaza na waslamu sijui mmeanza kuwa km walokole miskiti ipo kila baada ya nyumba sita jion ikifika ni makelele tu plus na haya makanisa ya vichochoroni yaan watu hawawez kupata utulivu kabsa...

Unakuta kuna mtu ana kanisa kashiba ugali maharage uko anazama kanisani kwake anatoa kipaza sauti nje anaanza kupiga kelele na yuko mwenyewe yaan hii nimeiona madale kila muda ni baba baba babaaa mpk kashaanza kuishiwa vyakumuomba mungu wake...

Nawaza hii Site yangu nayomalizia kujenga nasijahamia ila napata kero yote hii

Sasa Nasemajeeeee

Naanza kukata nyaya,km uko humu unajijua ni mchungaji njaa unakaa kanisan peke yako afu unaweka kipaza sauti nje nakuja kukata...

USHAURI;; Hiv waislam na walokole mnashindwa kuwa km wakatoliki kelele utazikia kwa dk 5 kuwafahamisha waumini kuwa muda wa ibada nyngne umefik baada ya hapo ibada inaendelea ndan ya kanisa bila kusumbua majiran na wapita njia...

MWISHO
 
Mkuu hama, maeneo tulivu yapo!!

Pia usiishi karibu na nyumba za kupanga watakupigia subwoofer kali sana😂😂😂
Ishu za kelele wazungu wameza kudhibiti
 
Braza hamia masaki au mbezi beach ili uishi maisha ya kizungu yaani no stress at all.
 
Hata huko buza mbweni masaki ipo misikiti na makanisa la muhimu wewe chimba shimo kubwa ujifukie humo utaepukana na kelele zote na utaishi kwa starehe sana humo
 
Kelele ni uchafuz wa mazngira mkuu,hkuna anastair huu usumbufu
Najua usingependa tuanze kuzungumzia suala la uchafuzi wa mazingira jinsi lilivyoenea kila mahali, ukiachilia mbali ^vipaza sauti vya misikitini na nyumba za ibada (church).^ 🙂
 
Umefikia hatua gani ndugu ... Au ulifurahisha genge mwaka juzi.......,,???
 
Back
Top Bottom