Nimechungulia game ya Simba dhidi ya Yanga, inamalizika bila goli

Nimechungulia game ya Simba dhidi ya Yanga, inamalizika bila goli

Hapana mojawapo atashinda goli moja tu.
Kwa matokea kabla ya saa nane mchana ya kesho.
Baada ya saa nane mchana matokeo yanaweza pinduliwa na kuongeza goli.
Sijui Kama utanielewa lakini hayo ni Mambo ya SATALAKHABARI
 
Atteba atafunga goli moja, Mudathir atafunga moja, na pacome atafunga moja
 
Hapana mojawapo atashinda goli moja tu.
Kwa matokea kabla ya saa nane mchana ya kesho.
Baada ya saa nane mchana matokeo yanaweza pinduliwa na kuongeza goli.
Sijui Kama utanielewa lakini hayo ni Mambo ya SATALAKHABARI
Kale ka elimu ka kubashiri nikumbushie mkuu
 
Sahau kuhusu hilo. Magoli hayawezi kukosekana, kutokana na timu zote mbili kuwa na washambuliaji wenye uchu wa kufunga
 
Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu
Hayafiki matatu..
Hapana mojawapo atashinda goli moja tu.
Kwa matokea kabla ya saa nane mchana ya kesho.
Baada ya saa nane mchana matokeo yanaweza pinduliwa na kuongeza goli.
Sijui Kama utanielewa lakini hayo ni Mambo ya SATALAKHABARI
Na tulisema Jana.
 
Back
Top Bottom