Jamani asanteni kwa ushauri mzuri. Mazingira ya pesa hiyo, huyo mtu alikuw mwanza akishughulika na mambo ya minala, akiwa ndie kiongoz na mmiliki wa kikampuni cha intertec co. Walikuwa wakifanya kazi china ya gtl. Kwa kuw nilikuwa nafahamiana nae, gari yangu ilitumika ktk kaz zake, mwanzon alikuwa ananilipa bila shida, ila ikafikia mahari akasema pesa ameishiwa hivyo niendelee kumfadhir gari mpaka kazi amalize ndio atanilipa. Nilikubar deni lilifika m1 akalipa nusu, nusu ndio ameingia mitini. Asante.