nimedisco MD! naombeni ushauri?

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
497
Reaction score
592
wakuu mie ni mwanachuo cuhas bugando! kulingana na hali nayoiiona kukosa assignment kadhaa, nina uhakika nmedisco na hivyo ndoto yangu ya kuwa doctor ndo imeiishia hapa! ni shughuli ipi naweza fanya while najiregain kuja kusomea kitu kingine mbeleni? je mgodini naeza ajiriwa kwa cheti cha form six tu!
 

Soma BSC ya Nursing ili uendelee kuhudumia wagonjwa>
 

mkuu pole sana!! kufel imtihan sio kufeli maisha, usikubali mitihaini(ue) ikuamulie maisha yako, bado wewe ni chalii na mda unao, umri ulio nao tunaita ni umr wa try and error, kujaribu vitu mbalimbali! vip ulikuwa mwaka wa ngapi?....pia rekebisha thread yako ina makosa mengi ili isomeke vizuri
 

Ni PM nikushauri.
 
tuma salamu kwa wachumba watatu ujumbe wambie BUNGE LA CCM LINAKUTANA J4 KULA HELA ZA WABONGO BILA HAYA NDO HABARI YA MJINI kudisco chuo sio kudisco serikali 3
 

yani upo bugando umedisco ambapo msuli wake kwa MD ni wa kitoto kama kusoma sociology ya TEKU, sasa je ungesoma Muhimbili si ndio ungedisco getini kabisa kabla hata hujaingia ndani?

Kwa ushauri nenda labda IMTU wanapotupa mafuvu ya binadamu kwani pale hakunaga kudisco mkuu.
 

unaua mkuu pole pole. Hata kama kuna ka ukweli ila umezidisha
 

We mwendawazimu, sasa muhimbili ina nini cha ajabu? Wanafunzi wanajifunza nini pale ikiwa walimu wao ni interns tu?
 


Kwa kwakua umeonyesha uzembe wa hali ya juu ya kukosa assignment na hukufanya jitihada ya kuweka mambo sawa na wakuu wako mapema, kwa kua hata majibu hayajatoka umeshijipachika label ya disco... Naona hufai kabisa kuwa daktari..... Kasome kozi nyingine.... Kule ulipotea.
 


kama ulikosa kufanya kwa ajilibya uzembe wako kwa starehe au kujiachia na mabinti ni ujinga na upumbuvu ha hali ya juu.hata kuomba ushauri bado hujawa tayari maana hujui ufanye nini.
 

akili yako ni mgando kabisa haupo katika jamii ya watu wanaweza kusema ni miongoni mwa wasomi tanzania hii.
 
Nilisoma na jamaa mmoja Mazengo PCB ili tukasome udokta, nikapata 2 jamaa angu kapata 4.. Aliacha mambo ya pcb na kwenda Meta sec kuanza upyaaa form 5 HGL saivi anamalizia masters yake na ana kazi ya maana tu na maisha yanasonga.

Achana na hiyo elimu, angalia upepo mwingine mpk umeenda udokta maana we ni cream, usijedharaulika na mtu hata mara moja! You still have a lot of potentials for Tanzanians, angalia ishu kama za geothermal source of energy, oil n gas, u can excel somewhere mate!!

All the best
 

Ha ha ha Duuh kweli JF ina watu na viatu


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
pole mkuu ,apply Mafunzo ya Ualimu kwa Ngazi ya diploma U-Dom wanasomesha Bure kwa masomo ya sayansi na Mathematics .mwisho wa app ni august 15
 
Huyu jamaa hata kwa maelezo yake is a true depiction of a kilaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…