Kwa kwakua umeonyesha uzembe wa hali ya juu ya kukosa assignment na hukufanya jitihada ya kuweka mambo sawa na wakuu wako mapema, kwa kua hata majibu hayajatoka umeshijipachika label ya disco... Naona hufai kabisa kuwa daktari..... Kasome kozi nyingine.... Kule ulipotea.
wakuu mie ni mwanachuo cuhas bugando! kulingana na hali nayoiiona kukosa assignment kadhaa, nina uhakika nmedisco na hivyo ndoto yangu ya kuwa doctor ndo imeiishia hapa! ni shughuli ipi naweza fanya while najiregain kuja kusomea kitu kingine mbeleni? je mgodini naeza ajiriwa kwa cheti cha form six tu!
yani upo bugando umedisco ambapo msuli wake kwa MD ni wa kitoto kama kusoma sociology ya TEKU, sasa je ungesoma Muhimbili si ndio ungedisco getini kabisa kabla hata hujaingia ndani?
Kwa ushauri nenda labda IMTU wanapotupa mafuvu ya binadamu kwani pale hakunaga kudisco mkuu.
wewe pia maswitule?Mkuu tunaweza onana inbox? Just curious of your ID bloke!!
wewe pia maswitule?
Relux kwa muda kwanza halafu utajua ufanye nini