Nimedondokea Penzi na Mdada "Tom-Boy"

Huwa ni watamu balaa....lakini piga kimahesabu usije jichanganya golden eye ikatafunwa!
 
Akikusimulia story zake akiwa leba (ana mtoto) anakwambia hajaskia uchungu yeye aliingia tu aka push mtoto akatoka anashangaaga wanaolia lia eti wanajifanyisha
mkuu mbona kama hiyo pisi naimanya au ndio watu wanafanana hadi maneno.

Matomboys wana madem wakali.
 
We unataka aue mtoto wa mtu.
 
Forget these advices on proper stroking from inexperienced guys. Good boy, pay close attention. unless she develops enough feelings for you to open up to you and feel bad about the suffering she is causing you. She will never change
 
tafuta mwingine,huyo ni mtu wa vi si mi
 
Kila mtu anakuambia mkandamizie uboo tu (mindset za maskini),hawa watoto nani kawadanganya uboo tu utamrudisha,kwanza mtu wa hvyo hana interest za uboo (atakukwepa).Mpe full mapenzi.Mtengenezee memories kwa outings tofauti tofauti zikiwemo safari nyingii (memories kills women),mwonyeshe how much unamkubali kwa kumsifia uzuri wake,mnunulie zawadi nyingi za ukikeni za kumpendezesha (kama vikuku vya gold,chains e.t.c.),mpambe kwa kumpeleka expensive saloons,appear funny awe anafurahi akiwa na wewe,endelea kumkandamizia sasa,feminism yake itaongezeka,usela utaisha atakuwa akikuona tu anaongea sauti ya ukikeni na pumzi zinakata,ataanza kuwaza jinsi ya kukufurahisha hapo viuno vitakuja vyenyewe.
 
Asante Sana Mkuu umeshauri ushauri mzuri sana nmependa
 
Forget these advices on proper stroking from inexperienced guys. Good boy, pay close attention. unless she develops enough feelings for you to open up to you and feel bad about the suffering she is causing you. She will never change
Thanks
 
, πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ Issuna chukua this one
 
Sawa Mkuu ila kuhusu Mianzi siwezi kujisemea mimi ni Pro Max wa hiyo ibada..
 
1. Kwanza mnunulie magauni kama matano na sketi na blauz
2. Mwambie juma pili twende kanisani sasa mtu ni wa kike hana hata gauni huyo anaendaje kanisani?
3. Usitoke nae akiwa kavaa vibukta vyake
4. Au muache mkuu atakutia dia kwa ndugu zako hao wanajulikana jamii itaanza kukuongelea wewe, achana na hiyo laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…