Nimeenda benki ya NMB kukopa fedha, naambiwa mkopo wangu umekataliwa kwa vile nina mkopo wa Timiza kampuni ya Simu ya Airtel

Nimeenda benki ya NMB kukopa fedha, naambiwa mkopo wangu umekataliwa kwa vile nina mkopo wa Timiza kampuni ya Simu ya Airtel

tambani

Member
Joined
Jul 23, 2024
Posts
17
Reaction score
33
Habari wadau.

Jana nilienda kifanya process za mkopo NMB, lakini loan officer akituma taarifa zangu naambiwa loan rejected sina sifa kwa vile nilikopa Timiza Airtel nikachelwa kulipa hivyo kampuni imenishtaki.

Hapo huu mkopo wa Timiza nilichukua ila nikalipa kwa riba maana nilizidisha miezi nane bila kulipa.

Naomba ushauri nifanyaje ili jina langu liondolewe katika high risk customer ili nipate mkopo wa bank.
 
Habari wadau.

Jana nilienda kifany process za mkopo NMB, lakina loan officer akituma taarifa zangu naambiwa loan rejected Sina sifa kwa vile nilikopa Timiza Airtel nikachelwa kulipa hivyo kampuni imenishtaki.

Hapo huu mkopo wa Timiza nilichukua ila nikalipa kwa riba maana nilizidisha miezi nane bila kulipa.

Naomba ushauri nifanyaje ili jina langu liondolewe katika high risk customer ili nipate mkopo wa bank.
Duuuu...hatariii..vimikopo hivyo vina riba kubwa, havilipiki. Lakini ndo vinaharibu status loo
 
Habari wadau.

Jana nilienda kifanya process za mkopo NMB, lakini loan officer akituma taarifa zangu naambiwa loan rejected sina sifa kwa vile nilikopa Timiza Airtel nikachelwa kulipa hivyo kampuni imenishtaki.

Hapo huu mkopo wa Timiza nilichukua ila nikalipa kwa riba maana nilizidisha miezi nane bila kulipa.

Naomba ushauri nifanyaje ili jina langu liondolewe katika high risk customer ili nipate mkopo wa bank.
Usije ukawa umeweka kwenye list ya defaulters wa mikopo.
 
Jitahidi kuzuia hasira zako dada unapoomba ushauri. Pokea kila ushauri unaopewa ukiona unafaa. Maelezo yako yenyewe hayakuwa wazi kama umemaliza mkopo au bado lazima mtu akuahauri kalipe mkopo. Sasa hasira za nini.
Wewe nae umesoma kwelii huu uzii??
Wapi nimeomba ushauri? Hebu rudia tena kusoma muanzilishi wa Uzi.
Huko anakodai nimekopa me hata sipajui
Angalia comment aliyoni quote alafu uangalie na jibu lake ndo uje ushushe Gazeti lako
 
Habari wadau.

Jana nilienda kifanya process za mkopo NMB, lakini loan officer akituma taarifa zangu naambiwa loan rejected sina sifa kwa vile nilikopa Timiza Airtel nikachelwa kulipa hivyo kampuni imenishtaki.

Hapo huu mkopo wa Timiza nilichukua ila nikalipa kwa riba maana nilizidisha miezi nane bila kulipa.

Naomba ushauri nifanyaje ili jina langu liondolewe katika high risk customer ili nipate mkopo wa bank.
Kwa hiyo unataka kupiga na huko NMB halafu usepee?
 
Back
Top Bottom