Pre GE2025 Nimeenda Ofisi ya Mkuu wa Mkoa muda wa kazi watumishi wa Ofisi husiku wote hawapo

Pre GE2025 Nimeenda Ofisi ya Mkuu wa Mkoa muda wa kazi watumishi wa Ofisi husiku wote hawapo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lethergo

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2023
Posts
6,534
Reaction score
11,421
Naomba kujuzwa wakuu kuna Ofisi nimeenda Ofisi ya Mkuu wa Mkoa muda wa kazi watumishi wa Ofisi husiku wote hawapo, hii imekaaje?

Nimeondoka bila kupata huduma yoyote nimepoteza muda na pesa naomba msaada hawa watu niende nikawatolee wapi malalamiko yangu hawa watumishi wa namna hii?

Wanapigiwa simu wanatafutwa wanasema wapo ofisini na Ofisi zimefungwa zote na hakuna mtu ofisini hata mmoja muda wa kazi Ofisi ya Serikali imefungwa kweli?

Soma Pia: Serikali iunde Taasisi ya Usimamizi na Ukaguzi kwa Watumishi wa Umma. Hii PEPMIS tunawekeana 90% maisha yanakwenda, hakuna mabadiliko ofisi za umma
 
Hili ni tatizo wanakula kulingana na urefu wa kamba zao! Kipindi cha magufuli! Nani atoke ofsini! Ulikuwa unaenda ofsini unahudumiwa kama mfalme! Nakumbuka nilienda ofsi fulani kufuatilia mambo ya nida kipindi hicho kwanza hamuaminiani nilihudumiwa chap! Saiv thubutu! Unakaa bench hadi bas,
 
Naomba kujuzwa wakuu kuna Ofisi nimeenda Ofisi ya Mkuu wa Mkoa muda wa kazi watumishi wa Ofisi husiku wote hawapo, hii imekaaje?

Nimeondoka bila kupata huduma yoyote nimepoteza muda na pesa naomba msaada hawa watu niende nikawatolee wapi malalamiko yangu hawa watumishi wa namna hii?

Wanapigiwa simu wanatafutwa wanasema wapo ofisini na Ofisi zimefungwa zote na hakuna mtu ofisini hata mmoja muda wa kazi Ofisi ya Serikali imefungwa kweli?

Soma Pia: Serikali iunde Taasisi ya Usimamizi na Ukaguzi kwa Watumishi wa Umma. Hii PEPMIS tunawekeana 90% maisha yanakwenda, hakuna mabadiliko ofisi za umma
Daah! Kazi ni mbaya ukiwa nayo
 
Naomba kujuzwa wakuu kuna Ofisi nimeenda Ofisi ya Mkuu wa Mkoa muda wa kazi watumishi wa Ofisi husiku wote hawapo, hii imekaaje?

Nimeondoka bila kupata huduma yoyote nimepoteza muda na pesa naomba msaada hawa watu niende nikawatolee wapi malalamiko yangu hawa watumishi wa namna hii?

Wanapigiwa simu wanatafutwa wanasema wapo ofisini na Ofisi zimefungwa zote na hakuna mtu ofisini hata mmoja muda wa kazi Ofisi ya Serikali imefungwa kweli?

Soma Pia: Serikali iunde Taasisi ya Usimamizi na Ukaguzi kwa Watumishi wa Umma. Hii PEPMIS tunawekeana 90% maisha yanakwenda, hakuna mabadiliko ofisi za umma
HUSIKU ina maana gani kwanza
 
Back
Top Bottom