shangwe shangwe
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 108
- 24
wadau nimefanikiwa kupata na kumiliki ardhi ya ekali 8. Sasa naomba msaada wenu wa kimawazo namna kuitumia ipasavyo ili niweze kuuepuka umaskini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau nimefanikiwa kupata na kumiliki ardhi ya ekali 8. Sasa naomba msaada wenu wa kimawazo namna kuitumia ipasavyo ili niweze kuuepuka umaskini.
wadau nimefanikiwa kupata na kumiliki ardhi ya ekali 8. Sasa naomba msaada wenu wa kimawazo namna kuitumia ipasavyo ili niweze kuuepuka umaskini.
Gawia ndugu na majirani waliopanga matumizi yatakuwa yamekamilika!
Dadavua zaidi ili usaidiwie vizuri, kwa mfano hiyo ardhi imeipata wapi? (yaani ipo sehemu gani? Dar au wapi?), ipo mashambani au mjini? nini vipo karibu yake (eg Maji (mto/mfereji, mlima, bonde, n.k au barabara, shule, kanisa, etc) na mambo mengine. Ukiweza kudadavua naweza kukusaidia project planning...
jipange uandike andiko lako vizuri. Fikiria wewe ndiye uliyeulizwa swali la jumla hvyo unajibu nini?
Kila ardhi ya eneo lolote lile inatofautiana kimatumizi.
Ila nikuulize kwa nini ulitafuta hiyo ardhi?
Ninaomba hapa jamvini tujifunze kuchukuliana na kuvumiliana. Hata kama ningekuwa mimi ningeona nimepotea njia. Mtu kauliza swali la ufanhamu halafu anashambuliwa kama nzinge! Mwiho wake tutampoteza huyu mwenzetua. Anaweza kuona jamii hii siyo yake. Hakuna mtu anyeenda kwenye kujumuika ili apate dhihaka na kudharauliwa.Hajialishi ardhi kapata kwa, kununua ama zadi. Kilicho dhahiri ni kwamba hana idea afanye niozni. Badala ya kumshambulia ni kumpa maswali ya mwongozo. Na kama hujui unanyamaza.Kumbuka hakuna mjuzi wa mambo yote wakati wote, mahala pote. This is jamii forum. We should learn how to complement each other, espcially when a person has declared to have low knowledge on something. Nimeumia sana kwa sababu huyu mtu hajaja na arrogance. Amekuwa submissive kwambaa anahitaji ushauri. Kwa nin mnamdaka namna hiyo?Naomba tujaribu kuona si vyema kufrustrate peaceful people kama huyu kijana.Naomba mwenye kujua aseme naye kwa upendo.Usiyejua nyamaza.Hutaki ku share naye hata dharau na dhihaka zako usimshirikishe.NATAMANI TUJENGE JAMII FORUM YENYE MLENGO WA KUSHIRIKISHANA NA KUSAIDIANA.Jibu maswali ya wadau upate ushauri.