Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Nimefanya mahojiano mafupi na TBC kuhusu upungufu ulioko katika historia ya TANU ambako wapigania uhuru wengi historia zao hazifahamiki.
Kipindi hiki kimekusudiwa kurushwa katika Taarifa ya Habari ya leo saa moja usiku.
Kipindi hiki kimekusudiwa kurushwa katika Taarifa ya Habari ya leo saa moja usiku.