Nimefanya mapenzi bila mpira

Nimefanya mapenzi bila mpira

UWOGA=UMASKINI

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
2,399
Reaction score
1,014
Nimefanya mapenzi bila kondomu lakini sijasugua sana k ila nikapiga kimoja nikaacha na baada ya hapo nikanawa.

Je naweza pata UKIMWI na nichukue mda gani kukutana na mke wangu msaada tafadhali sana wadau.

Je nitajuaje kama sijapata magonjwa ya zinaa, na hili laweza mtokea mtu yeyote usinibeze na kunishangaa.
 
nimefanya mapenzi bila kondomu lakini sijasugua sana k ila nikakpiga kimoja nikaacha na baada ya hapo nikanawa je naweza pata ukimwi na nichukue mda gani kukutana na mke wangu msaada tafadhali sana wadau
Ungeuliza kabla ya tama zako kama ni kuukwaa tayari, subiri miezi mitatu upime na usiendekeze upuuzi eti kamoja hakana michubuko kama boxer+fungus wamekuchubua utajua?
 
Si vyema kumwamin mtu maana hujui atokako na nan alikuwa naye hapo awali,kuwa makin kaka!
 
Umeona shetani alivyokuwa hana maana,alikutia ujasiri ukajiona unafanya jambo la maana,sasa umeshaharibu kakukimbia amekuacha unajutia,usikate tamaa mgeukie Mungu atakuepusha na mabalaa kwenye maisha yako,epuka michepuko baki njia kuu.
 
jamaa amepga mzgo halafu bdae atakuwa amepata tetes demu alokula ameukwaa sasa hzo pressure alizonazo mapgo ya moyo wake yanaweza pasua kifua chake
 
nimefanya mapenzi bila kondomu lakini sijasugua sana k ila nikakpiga kimoja nikaacha na baada ya hapo nikanawa je naweza pata ukimwi na nichukue mda gani kukutana na mke wangu msaada tafadhali sana wadau

baada miez mitatu ... kapime tena halafu usubiri mitatu urudie kupima halaf mitatu tena
 
Duuuh!
...kwan mkuu huyo demu ushahakikisha ameungua, au ndo woga wako tu???
 
Back
Top Bottom