Nimefanya mapenzi bila mpira

Habari wakuu,

Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi yanazidi kukua kwa kasi mkoa wetu huu wa Dar es salaam hasa kwa vijana wenye umri kati ya miaka 15-24.Sasa je, ni kweli kondom zinazuia maambukizi ya virusi vya ukimwi?

Naomba kuwasilisha
 
Habari wakuu,

Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi yanazidi kukua kwa kasi mkoa wetu huu wa Dar es salaam hasa kwa vijana wenye umri kati ya miaka 15-24.Sasa je, ni kweli kondom zinazuia maambukizi ya virusi vya ukimwi?

Naomba kuwasilisha

Kwa mujibu wa wataalamu hapa chini ni uwezekano wa kupata ngoma bila matumizi ya kondomu kwa kitendo kimoja. Sasa ukiona ni kwa kiasi gani uwezekano wa bila kondomu ulivyo, jaribu kuangalia iwapo utavaa kondomu uwezekano wa kupata ni upi. Kwa makadirio ru ukivaa kondomu uwezekano wa kutopata ngoma ni zaidi ya asilimia 90;


Average per act risk of getting HIV by exposure route to an infected source;

Exposure route .................... Chance of infection
Blood transfusion ..................90% [32]
Childbirth (to child) ...................25%[33]
Needle-sharing injection drug use............0.67%[32]
Percutaneous needle stick....................0.30%[34]
Receptive anal intercourse*..................0.04–3.0%[35]
Insertive anal intercourse*..................0.03%[36]

Receptive penile-vaginal intercourse* 0.05–0.30%[35][37]
Insertive penile-vaginal intercourse* 0.01–0.38% [35][37]

Receptive oral intercourse*§ 0–0.04% [35]
Insertive oral intercourse*§ 0–0.005%[38]

*Assuming no condom use § source refers to oral intercourse performed on a man
 
Mimi pia nimefanya jana naogopa balaaa asee :'(
 

pep ni nini
 
Cyo rahisi kuambikizika kiivo. Wako walioishi na wenye ukimwi miaka bila kujua lakini wakawa salama. Km ingekuwa kila ukiingiza unaambukizwa tungeshaisha siku mingi. Tabia ya wale wadudu wanafuata nyama kwa nyama na damu kwa damu. Nenda kapime ujihakikishiw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…