Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

Status
Not open for further replies.
Unachopaswa kujua jf ni jukwaa tu kwahiyo wapo watu wa kila aina wale wale wa mtaani waliopo kwenye jamii wakiwemo wauzaji. Unaweza kuhisi umepata kumbe ww ndio umepatikana.

Ila wa facebook wanakuwaga....
 
Halafu nyinyi watoto wa kiume ndiyo mnao sababisha baba zenu tukose wake wa kuoa humu. Kwa mada za aina hii, mnasababisha wote tuonekane hamnazo.
 
Na nyie mademu muwe mnaangalia wanaume wakudate nao, sio kila mwanaume anasifa ya kuwa Gentleman.
 
JF connecting people
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ