Nimefanya mazoezi leo uwanjani misuli imekaza naomba mwenye kujua dawa ya misuri .

Nimefanya mazoezi leo uwanjani misuli imekaza naomba mwenye kujua dawa ya misuri .

nenda phamarcy yoyote waeleze matatizo yako utasaidiwa, kwani hapa utapewa dawa?? hata ukiambiwa, si utaenda huko huko kununua , sijaona sababu ya kuanika habari ambazo hazijengi hapa
 
Nunua Deep Heat na upate mtu wa kukukanda/kukusugua kwa nguvu kwa kukutumia hiyo kuliko kufanya mwenyewe maana hutajikanda vizuri
 
Usikimbilie Dawa za Misuli mkuu.

Hizo ni dalili za kawaida kwa Mtu anayeanza Mazoezi au kama uliacha mazoezi kwa mda Mrefu.

Unachotakiwa kufanya ni Kurudia tena mazoezi hayo kesho na uendelee kufanya mazoezi tena na tena misuli itazoea na utakuwa Fit.

Misuli yako ilikuwa imerelax kwa Mda mrefu kwahiyo umeivuta ndo Mana inauma.. Fanya mazoezi tena na tena.. Hata ukiwa unakimbia mapafu huwa yanauma na kuvuta sana lakini ukifanya mazoezi ya kukimbia mara kwa mara yanazoea na yanakuwa yametanuka vya kutosha.
 
Usikimbilie Dawa za Misuli mkuu.

Hizo ni dalili za kawaida kwa Mtu anayeanza Mazoezi au kama uliacha mazoezi kwa mda Mrefu.

Unachotakiwa kufanya ni Kurudia tena mazoezi hayo kesho na uendelee kufanya mazoezi tena na tena misuli itazoea na utakuwa Fit.

Misuli yako ilikuwa imerelax kwa Mda mrefu kwahiyo umeivuta ndo Mana inauma.. Fanya mazoezi tena na tena.. Hata ukiwa unakimbia mapafu huwa yanauma na kuvuta sana lakini ukifanya mazoezi ya kukimbia mara kwa mara yanazoea na yanakuwa yametanuka vya kutosha.

nashukuru kwa michango wakuu.
 
Back
Top Bottom