Nimefika Geita na wilaya zake, Sijui Kwanini Hayati Magufuli hakujenga Airport Katoro badala ya Chato

Nimefika Geita na wilaya zake, Sijui Kwanini Hayati Magufuli hakujenga Airport Katoro badala ya Chato

Paploman

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
1,759
Reaction score
3,452
Nimetembelea mkoa wa Geita na wilaya zake, mwezi wote huu.

Katoro ni mji ambao umenishangaza sana, mji Unajengeka kisasa, Una majengo ya kifahari, centre Yao imechangamka kuna mzunguko biashara na muingiliano WA watu WA kutosha.

Sikuwa na wazo na kununua kiwanja Huku Geita, imenibidi ninunue maeneo hapa, na bei yake imechangamka ni Sawa huko mjini.

Naamini ule uwanja WA ndege WA Chato magufuli angeujenga hapa abiria wangekuwa WA kutosha kuliko kule Chato.

Katoro bonge la mji, Japo sio mkazi wa Huku Ila lazma nijenge Huku ili niwe nakuja kupumzika likizo.
 
Nimetembelea mkoa wa Geita na wilaya zake, mwezi wote huu.

Katoro ni mji ambao umenishangaza sana, mji Unajengeka kisasa, Una majengo ya kifahari, centre Yao imechangamka kuna mzunguko biashara na muingiliano WA watu WA kutosha.

Sikuwa na wazo na kununua kiwanja Huku Geita, imenibidi ninunue maeneo hapa, na bei yake imechangamka ni Sawa huko mjini.

Naamini ule uwanja WA ndege WA Chato magufuli angeujenga hapa abiria wangekuwa WA kutosha kuliko kule Chato.

Katoro bonge la mji, Japo sio mkazi wa Huku Ila lazma nijenge Huku ili niwe nakuja kupumzika likizo.
Nendeni Chato Kwa Mzilankende 😁😁
 
Haina tofauti sana na case ya Kahama kabla ya kupewa airstrip ya Acacia,uwanja wa ndege ulikuwepo Shinyanga (mkoani) muda mrefu tu.
 
Nimetembelea mkoa wa Geita na wilaya zake, mwezi wote huu.

Katoro ni mji ambao umenishangaza sana, mji Unajengeka kisasa, Una majengo ya kifahari, centre Yao imechangamka kuna mzunguko biashara na muingiliano WA watu WA kutosha.

Sikuwa na wazo na kununua kiwanja Huku Geita, imenibidi ninunue maeneo hapa, na bei yake imechangamka ni Sawa huko mjini.

Naamini ule uwanja WA ndege WA Chato magufuli angeujenga hapa abiria wangekuwa WA kutosha kuliko kule Chato.

Katoro bonge la mji, Japo sio mkazi wa Huku Ila lazma nijenge Huku ili niwe nakuja kupumzika likizo.
Geita huo mkoa unalaana unamatukio ya kutisha sana
 
Back
Top Bottom