Nimefika Mathare- Nairobi Duh!

Hapo na "Kwa Mfuga Mbwa" wapi afadhali?


kiranga;
Usilinganishe Mathare na kwingine kokote duniani. Kwa Mfuga mbwa ni Obay kulinganisha na Mathare. Swali ni; Je, Serekali ingali amua kubomoa sehemu flani ya Makazi hayo, ikajenga gorofa hapo, Je watu si wangeishi ka watu? Kidogo kidogo, kwa hiyo miaka ya uhuru yote si kila mwaka wangeweza anzisha makazi mema kwa raia wake??
Laiti tungepata viongozi wenye nia njema na wananchi wake. Tungekwenda mbali. Yako wapi mawazo mema ya kina mzee Karume jamani. Kuwatakia maisha mema watu aliokuwa anawaongoza? Mzee Karume alitutoka lakini atakumbukwa kwa magorofa yake alowajengea watu wa chini (Walala hoi)
 

Typhord na TB nje nje hapo😀
 

Attachments

  • 1420887898675.jpg
    328.6 KB · Views: 470
Mimi naona makazi duni ya Dar ni kama ya kifahari ukiyalinganisha na ya hapa kwetu, nyumba za udongo jijini sijaziona ingawa labda ziko.
 
Mimi naona makazi duni ya Dar ni kama ya kifahari ukiyalinganisha na ya hapa kwetu, nyumba za udongo jijini sijaziona ingawa labda ziko.
Naona hata kile kiingereza chako safari hii umekitupilia mbali, manaake ukweli unauma (mchungu).
 
Mimi naona makazi duni ya Dar ni kama ya kifahari ukiyalinganisha na ya hapa kwetu, nyumba za udongo jijini sijaziona ingawa labda ziko.

hahaha Mkuu kuna mtu anatumia ID yako au?? Anyway mwaka juzi nilikuwa nairobi, nikaomba rafiki yangu anipeleke Kibera, sikumaliza hata 20% ya hizo slums niliomba safari iishe..
 
Ingawa tunaambiwa kuwa mji wetu ni mchafu lakini hivi kuna sehemu yoyote ile tz inayofanana na mathare?????????????

[TABLE="width: 95%"]
[TR]
[TD="class: txt18, align: center"]Tanzania-Dares Salaam-Manjo and her family
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 95%"]
[TR]
[TD="class: sj11"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 60%, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 95%"]
[TR]
[TD="class: p1"]




Manjo and her family live in a metal tin shed in Dares Salaam, the capital of Tanzania July 12, 2011. Due to high unemployment, many people lived hard lives in slums in the city.


Manjo and her family live in a metal tin shed in Dares Salaam, the capital of Tanzania July 12, 2011. Due to high unemployment, many people lived hard lives in slums in the city.


Manjo and her family live in a metal tin shed in Dares Salaam, the capital of Tanzania July 12, 2011. Due to high unemployment, many people lived hard lives in slums in the city.


Manjo and her family live in a metal tin shed in Dares Salaam, the capital of Tanzania July 12, 2011. Due to high unemployment, many people lived hard lives in slums in the city.


Manjo and her family live in a metal tin shed in Dares Salaam, the capital of Tanzania July 12, 2011. Due to high unemployment, many people lived hard lives in slums in the city.


Manjo and her family live in a metal tin shed in Dares Salaam, the capital of Tanzania July 12, 2011. Due to high unemployment, many people lived hard lives in slums in the city.


Manjo and her family live in a metal tin shed in Dares Salaam, the capital of Tanzania July 12, 2011. Due to high unemployment, many people lived hard lives in slums in the city.


Manjo and her family live in a metal tin shed in Dares Salaam, the capital of Tanzania July 12, 2011. Due to high unemployment, many people lived hard lives in slums in the city.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 60%, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 95%"]
[TR]
[TD="class: sj11"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 90%, align: center"]
[TR]
[TD="class: hong13, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 

Leta picha za makazi sio mtu mmoja amejenga kibanda...Kifupi Dar hakuna Makazi ya Ovyo kama hayo...Khaa! Huo uchumi wenu mkubwa EA unawasaidia nini?
 
Leta picha za makazi sio mtu mmoja amejenga kibanda...Kifupi Dar hakuna Makazi ya Ovyo kama hayo...Khaa! Huo uchumi wenu mkubwa EA unawasaidia nini?

giving you jobs fellow!!!!!



 
Wakenya ni lazima tukubali ukweli. Tatizo la taifa letu sio umaskini wa fedha, bali ni umaskini wa akili. Najua Tanzania kuna Uchafu pia, lakini ukiona zile nyumba ambazo ziko hapa ni afadhali kushinda za Kibera. Kenya tuna upumbavu wa kuweka siasa kwa kila kitu. Wakati kiongozi mwenye maono anakuja kuleta suluhu, wakaazi wajinga hutoka na kuanza kumpiga vita. Raila Odinga alikuwa Mbunge wa Kibera miaka mingi lakini hakuna alichokifanya. Hata hivyo, wanachi wa kule waliendelea kumpigia kura. Hivi majuzi, Uhuru ameanzisha mfumo wa kuijenga Kibera kutumia National Youth Service (Nadhani TZ mnawaita JKT,) na kuna watu wakaleta siasa za kipambavu. Kile kinachohitajika ni waafrika: watanzania na pia wakenya, tufungue mawazo yetu bila kungojea mzungu kutupa suluhu.

Kwa wale mlio na uwezo, hebu mkatazame vile serikali ya Uhuru inajaribu kuleta mabadiliko Kibera, hata kama Kibera iko chini ya serikali ya Kaunti. Na sio Kibera tu, bali hata hivo vitongoji duni ambavyo mleta mada amevitaja. Ningeomba wakenya wenzangu tumuunge mkono Rais wetu ili kila mkenya apate maisha bora.

 
Last edited by a moderator:
These Tanzanian contributors will resort to slum-porn every so often because they have little to nothing to show for all their peace. Kenya, just like South Africa, China, Brazil and other more prosperous countries have slums. That is old news.

Tanzanians, please show us the great and prosperous Tanzanian neighborhoods for a change.

The fact of the matter is that Tanzanians are uniformly poor. Nothing to show!

Suraya- Nairobi





 
Wakitoka kwenye hayo mabanda yao ya mabati wakivaa na makoti yao ya mitumba na vingereza vingi basi wanaona maisha wameyashinda ni kunywa chang'aa tu na kitheri.
 

As you see that's a neighborhood with proper sanitation infrastructures, albeit no one maintains them. And worse enough it's a problem that's limited to a very tiny area, which is why the only picture you can find is a close up picture.Why don't you find a bird's eye picture of a mess like that one in Mathare?there is none. why?i am proving your lies below. Don't be scared now. I told you i hate lies.





This picture is not from Dar, Dar does not use that type of roofing for houses, anyone who has ever lived in dar, can easily tell that. I guess you are beyond desperate to prove things in Dar are as bad as they are in Nairobi, to the extent of faking photos from India.

This is where you got the photos from
INDIA: Terra Urban टेरा अर्बन | Urban Forum by Society for Participatory Research in Asia (PRIA)

Actual link from the Indian website:http://terraurban.files.wordpress.com/2012/12/3a10217b6db20ba4ee9afc19f948-grande.jpg?w=458

Not every story about "Slums" in Dar has pictures from Dar.

I repeat, what is going on in Mathare, should make you be ashamed of Kenya, same way am ashamed of those uncleaned street patches.

Difference is you don't care about anything that goes on in Mathare.Because' that's how you fellas are wired.
 
Duuuuhhhhh Africa yote kunasehemu kama hizi. Idia pia.
 

Those fancy neighborhoods are exactly the problem highlighted by this thread. MILLIONS are swimming in total poverty while 1% are living a fancy life.

No one want's that in Tanzania. you can keep your fancy neighborhoods if they come with just 20% of that Mathare clusterf*ck.

Don't you have any dignity to stand for areas like Mathare?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…