Nimefika Mathare- Nairobi Duh!


Come to think of it, i can see a railway line and no railway line passes through mathare
 
Huko kuna kitu inaitwa FLYING TOILETS! Unakuta mtu ananunua mfuko wa plastic utadhani anaenda kufungashia zana kumbe anatumia usiku kuhifadhi kitokacho baada ya kula asubuhi anatupa hapo nje kwake na hajali!
 
Niliwahi ambiwa Kenya ina watu wachache ndo wanameshikilia mema ya nchi, sasa naanza pata picha halisi.
hapo kuna watu wamejikatia tamaaa wakipata chance wanalianzisha

Ni kwamba,nusu ya ardhi yote ya kenya inamilikiwa na Rais Uhuru Kenyata na kwa sheria za Kenya kuhusu ardhi ni kwamba ardhi inamilikiwa na individual na sio public kama ilivyo Tanzania. Hapo unategemea nini kama nusu ya ardhi ya nchi nzima inamilikiwa na mtu mmoja?
 

Hiii ni kweli? Isijekuwa ni story za mtaani? mkuu
 

Hizi uwongo za vijiweni peleka mbali.
 
Pia tembelea Mukuru kwa Njenga, Githembe na Riruta Satellite.
 
Si unaona sasa jamaa wanasuasua kuchangia hii mada, manaake wanajua wazi kabisa huu ni ukweli mtupu.

Washtuliwe waje hapa...kuuwa soo wataanza kusema "ati nyie watz ni wa bongolala sana.......

Lakini watakutambia eti angalau wao wanazungumza kiingereza vizuri kuliko watanzania; ingawa ni wazi kabisa "wanakufa na tai shingoni". Hawa jamaa ni kituko!

Niliwahi ambiwa Kenya ina watu wachache ndo wanameshikilia mema ya nchi, sasa naanza pata picha halisi.
hapo kuna watu wamejikatia tamaaa wakipata chance wanalianzisha



Mbona watanzania mnapenda kujidanganya sana. Ukiona kitu kizuri kwenu, unafkiria hakuna chegine kama hich africa.......
Wa Tz mjifundishe kufanya reasearch kabla kufungua mdomo, Jueni maendeleo ya nchi za kiafrica ndo mjue mko nyuma kiasi gani, si kutegemea udaku na hear-say alafu wengine wenu mnafkiri watanzania wengi zaidi wako na afadhali, ilhali watanzania wako nyuma zaidi kwa umaskini kushinda Kenya. Ngoja ni wa funze Kuhusu nchi yenu, ukilinganisha na Kenya.....

[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Item by (2013)
[/TD]
[TD]Tanzania
[/TD]
[TD]Kenya
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Population approx[/TD]
[TD]50 million[/TD]
[TD]45 million[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]% of people below poverty line (2013)[/TD]
[TD] 65% poor[/TD]
[TD] 42% poor[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dollar Millionnaires[/TD]
[TD]5,200[/TD]
[TD] 8,400[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]% of middle class (2011)[/TD]
[TD]12.1
[/TD]
[TD]44.9%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]litaracy rates (2013)[/TD]
[TD]69.40%[/TD]
[TD]85.10[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Life expectancy[/TD]
[TD]61.24 yrs[/TD]
[TD]63.52 yrs[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]People living with HIV (2012)[/TD]
[TD]1.472 million[/TD]
[TD]1.646 million[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]HIV/AIDS deaths per year (2012)[/TD]
[TD]80,000[/TD]
[TD]57,500[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwahivyo, kwa ufupi, watanzania wengi zaidi ni maskini hohehahe, Na tanzania haina middle class wengi, either mtu ni tajiri zaidi, ama ni maskini mlala hoi, ilhali Kenya iko na raiya wengi zaidi ambao wanaeza jimudu kimaisha (middle class).


allAfrica.com: Tanzania: 65 Per Cent of Tanzanians Live Below Poverty Line
allAfrica.com: Kenya: Poverty Levels in Kenya Dropping - World Bank
East Africa’s growing middle class hits 29 million - News - www.theeastafrican.co.ke

Hata mutuonyeshe Mathare ngapi, bado haitageuza ukweli kwamba watanzania wengi zaidi ni maskini
 
Si vibaya kujifariji. Dunia nzima inajua hakuna masikini Kenya, kwa hiyo hauna haja ya kupapatika.
 
mbona Mathare ni kama kuzuri tu yaani hizo ni nyumba za national housing safiiiii
 
Aisee hapo mathare life expectancy yake ikoje, unaweza kufikisha 35 hapo. Mmmmmm
 
Nilikua sijaona huu uzi.

Kweli kenyans wanaishi kama mifugo
 


Hili eneo Ndugu MK254 analijua ?.
 
Last edited by a moderator:
mathare noma,mtu anakunya kwenye rambo anatupia dirishani,unaweza pigwa cha uso
 

Mathare mtaa wa Korongocho/korokocho ni dunia nyingine kabisa nilifanya kazi za kijamii huko kwa miezi mitatu
 
Lakini mbona nyinyi wabongo wengi mnaozururu Kenya huwa mnakiri tu kutembelea maeneo kama haya Nairobi



Ilhali huwa mnadinda kutembelea maeneo mengine kama haya?

















Tanzania kuna mambo kama haya....?






https://www.youtube.com/watch?v=K4LORsZe60Y



Nyinyi kila mara ati Kibera Kibea na hata mitaa za kisawa sawa hamni!

Wenzangu, tatizo pia ni moja hilo hata kuleAfrika Kusini!








Lakini nyinyi kila mkizuru Joburg, hamkiri hata kidogo kuzuru maeneo kama haya...nyinyi hujidai kuwa maeneo kama haya..nk

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…