Nimefikia mda muafaka kuoa, najitokeza kusaka mke jf.

Nimefikia mda muafaka kuoa, najitokeza kusaka mke jf.

Ndala ndefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
237
Reaction score
42
Habari! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mkristu pia naishi na kufanya kazi mkoa wa Mwanza, elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa. Kuhusu kabila ni mhangaza. Nachukua fursa hii kutoa hitaji langu la mchumba kwani ni muda muafaka wa mimi kuwa na familia, sifa za binti ninaemhitaji kwanza awe anajua nini maana ya maisha, awe mcha mungu, awe mweupe au maji ya kunde, asiwe mrefu sana na pia asiwe mnene na mwisho asiwe anatumia pombe kupita kiasi au kuvuta sigara. Atakaekuwa interested ani PM, msilete masikhara ktk uzi huu pliiiiiz!
 
huu unene huu umenikosesha mume
 
huu unene huu umenikosesha mume

Jaribu bahati kila mtu ana reference yake, anaposema unene ni with reference to some one, so wewe unaweza kuwa sio mnene wa kumtisha.

Pia mwisho wa siku hawezi kupata mtu ambaye ana fulfill hivyo vigezo vyote alivyotaja, hivyo basi unajikuta kumbe wewe probability yako ya ku win hiyo tenda ni kubwa kuliko wengine, so try.
 
kwanini kujilazimisha bwana? atakuja tu anaenitaka acha niwait
Jaribu bahati kila mtu ana reference yake, anaposema unene ni with reference to some one, so wewe unaweza kuwa sio mnene wa kumtisha.

Pia mwisho wa siku hawezi kupata mtu ambaye ana fulfill hivyo vigezo vyote alivyotaja, hivyo basi unajikuta kumbe wewe probability yako ya ku win hiyo tenda ni kubwa kuliko wengine, so try.
 
kwanini kujilazimisha bwana? atakuja tu anaenitaka acha niwait

Sawa tu haina shida, dada Smile haya mambo yapo tu, na kila jambo na wakati wake, na kila shetani na mbuyu wake. Siku ikifika ahhh, unashangaa tu kila kitu kinajipanga chenyewe, unaweza hadi jiuliza siku huyu alikuwa wapi siku zote hizo.

atakuja tu anaenitaka acha niwait, ni imani nzuri sio mbaya, maana unakoishi, unakofanya kazi, unapotembelea, unapopata mahitaji ya lazima na nk, kote watu wanakuona na kukufahamu hivyo ni kweli watakuja, ila wakija kama wana vigezo wapokee, usijesema ningejua,...........

It's good to test a guy first before you believe him. But don't let him wait that long....([MENTION]Smile[/MENTION])
 
ahahaaa ni kujipanga tu aisee...usijali kila kitu kipo undercontrol in JESSUS NAME
Sawa tu haina shida, dada Smile haya mambo yapo tu, na kila jambo na wakati wake, na kila shetani na mbuyu wake. Siku ikifika ahhh, unashangaa tu kila kitu kinajipanga chenyewe, unaweza hadi jiuliza siku huyu alikuwa wapi siku zote hizo.

atakuja tu anaenitaka acha niwait, ni imani nzuri sio mbaya, maana unakoishi, unakofanya kazi, unapotembelea, unapopata mahitaji ya lazima na nk, kote watu wanakuona na kukufahamu hivyo ni kweli watakuja, ila wakija kama wana vigezo wapokee, usijesema ningejua,...........

It's good to test a guy first before you believe him. But don't let him wait that long....(Smile)
 
Back
Top Bottom