Nimefikiria ila nimekosa jibu!

Nimefikiria ila nimekosa jibu!

run CMD

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
3,185
Reaction score
3,909
kuna haja mashirika wanaita ya kimataifa na mishahara yao ipo na jina mfano grade P3 unapata ni hela ndefu kwani pia wanalipwa kwa dola..sasa kuna wale wamekuja kutoka nchi fulani let say west african or other countries lakini anamaisha ya kawaida sana yaani hajaendani na mshahara anaolipwa wengine wana vigari kama ist au suzuki ambacho mwalimu akajipanga anamiliki bila shida..
sasa huwa najiuliza tatizo lipo wapi je makato yao yapoje?
maana nimetokea kuwafahamu siyo mmoja ni kadhaa ila naona hawapishana sana na watumishi waumma nasemea hasa wageni sio wenyeji
 
kuna haja mashirika wanaita ya kimataifa na mishahara yao ipo na jina mfano grade P3 unapata ni hela ndefu kwani pia wanalipwa kwa dola..sasa kuna wale wamekuja kutoka nchi fulani let say west african or other countries lakini anamaisha ya kawaida sana yaani hajaendani na mshahara anaolipwa wengine wana vigari kama ist au suzuki ambacho mwalimu akajipanga anamiliki bila shida..
sasa huwa najiuliza tatizo lipo wapi je makato yao yapoje?
maana nimetokea kuwafahamu siyo mmoja ni kadhaa ila naona hawapishana sana na watumishi waumma nasemea hasa wageni sio wenyeji
Mzee umekula mkataba usio na maslahi nn mbona povu asubuh Hii.
 
hapana mkuu ni kiherehere cha kujua maana nasikia international agency ni hela ndefu

Usikariri kwamba kila aneyendesha IST ni mtu wa chini.
Cha pili fanya yako acha kufatilia maisha ya watu sijui anapokea P3 anaendesha IST.
Prof Assad ex CAG alikuwa anaendesha IST wakati alikuwa anakunja mshahara zaidi ya 10 m per month
 
Usikariri kwamba kila aneyendesha IST ni mtu wa chini.
Cha pili fanya yako acha kufatilia maisha ya watu sijui anapokea P3 anaendesha IST.
Prof Assad ex CAG alikuwa anaendesha IST wakati alikuwa anakunja mshahara zaidi ya 10 m per month
sawa...
 
Kama ni wagen basi pesa hupeleka makwao huko ,huku wanabakisha kidogo za kuendesha maisha na watoto wazuri
 
Back
Top Bottom