Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Vizuri mkuu endelea kupiga tiziYaaa
Akimudu ataongezaAisee mbona chache sana
Kama kawaaa mkuuVizuri mkuu endelea kupiga tizi
Hiyo 10@ reps 20 maana yake ni nini? Tafadhari turahisishie maelezo tuelewe. Asante.Push up round 10@ reps20
Squat round 10@ reps 20
Squat left leg round 10@ reps20
Squat right leg round 10@ reps20
Trycep round 10@ reps20
Kukata tumbo 10@ reps20
= reps 1200
1 hour
Inawezekana ila kaweka na fiks kidogo, kupiga hii show ya 1200 alafu btn reps ni 5-10 sec, even the fittest modafanta will have his ass sweating!Huu ni uongo, usitafte sifa huna uwezo huo hata mwarabu fighter anachemka hizo reps!
Kweli mkuu itabidi aongezeAkimudu ataongeza
Ni kuamua tu, tatizo wabongo tumekalili kila kitu kama siasaKuna jamaa anadhani haya mambo ni uhongo,, embu mwambie
Kama kawa kama dawaKama kawaaa mkuu
Namaanisha stamina, kwa zoezi unalofanya ni kweli utakuwa na muonekano wa mwili wenye afya ila nikikupeleka uwanjan wa mpira ukazunguke mara 2 tu, ulimi wako utagusa mchanga kwa kuchoka.Fafanua hapo mwisho jamaa hana pumzi
Mkuu hivi vitu ukiamua unaenda,, [emoji16]Inawezekana ila kaweka na fiks kidogo, kupiga hii show ya 1200 alafu btn reps ni 5-10 sec, even the fittest modafanta will have his ass sweating!
Mzee! Hiyo 10@ reps 20 maana yake ni nini? Tafadhari turahisishie maelezo tuelewe basi. Asante.Mkuu hivi vitu ukiamua unaenda,, [emoji16]
Ndani ya zoez moja unaenda labda katika kubadiri zoez unaweza vuta pumz baada ya dk 3-5
Hapo sawa, kwa 3-5 minutes kati ya zoezi na zoezi inawezekana. Nilidhani kati ya zoezi na zoezi pia ni 5-10 sec.Mkuu hivi vitu ukiamua unaenda,, [emoji16]
Ndani ya zoez moja unaenda labda katika kubadiri zoez unaweza vuta pumz baada ya dk 3-5
Nlisahau kuweka hii ndo maana ukastuka, pamoja mkuu[emoji16]Hapo sawa, kwa 3-5 minutes kati ya zoezi na zoezi inawezekana. Nilidhani kati ya zoezi na zoezi pia ni 5-10 sec.
Mkuu! Mbona kimya? Nasubiri jibu nianze mazoezi usiku huu huu!Nlisahau kuweka hii ndo maana ukastuka, pamoja mkuu[emoji16]
Nawe vp unapga
Kwa mfano ktk push, mtu akikwambia piga push up 20 maana yake umeenda reps 20 kwa round 1,Mzee! Hiyo 10@ reps 20 maana yake ni nini? Tafadhari turahisishie maelezo tuelewe basi. Asante.
Nlikujibu hapo juu,,Mkuu! Mbona kimya? Nasubiri jibu nianze mazoezi usiku huu huu!
Hiyo 10@ reps 20 maana yake ni nini? Tafadhari turahisishie maelezo tuelewe.
Asante sana nashukuru. Basi mimi naanza sasahivi alafu kesho anibabaishe mtu kule manzese. Push up zote zitamwishia yeye!Kwa mfano ktk push, mtu akikwambia piga push up 20 maana yake umeenda reps 20 kwa round 1,
Mkuu [emoji16] fanya asubuhiAsante sana nashukuru. Basi mimi naanza sasahivi alafu kesho anibabaishe mtu kule manzese. Push up zote zitamwishia yeye!
Nilitaka kukwambia inawezelana jamaa yuko nchi nyingine ambako huko ni asubuhi au jioni, ila nilipoona manzese nikajisemea sidhani kama kuna manzese sehemu nyingine mbali na Tz.Mkuu [emoji16] fanya asubuhi
Sawa mkuu. Nashukuru kwa ushauri, lakini hawa wala bwimbi wanasumbua sana kule uswazi. Wanaiba mapipa ya taka, wanaiba ndoo za kuogea na ukianika suruali yako iliyo toboka na vilaka wanakomba pia. Sasa hii push up na squatting itaishia kwao [emoji23]Mkuu [emoji16] fanya asubuhi