Pamoja Mkuu, wengine ndio tunausoma ujumbbe saa hii, but tambua kwamba hii ni familia moja na linagusa mmojawetu linatugusa sote, uvae ujasiri katika kipindi kigumu unachopitia......
Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital.
Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!