Nimefuatilia utendaji wa RPC Dodoma aliyeondolewa, nikiri kwamba ni moja ya wanawake shupavu kupinga ukatili. Ameonewa

Nimefuatilia utendaji wa RPC Dodoma aliyeondolewa, nikiri kwamba ni moja ya wanawake shupavu kupinga ukatili. Ameonewa

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimefuatilia mitandaoni nyendo za RPC Dodoma aliyeondolewa, nimefuatilia kuona mahusiano yake na jamii pamoja na utendaji kazi wake. Nachelea kuamini kwamba katika kinywa kile maneno yakumdhalilisha mwanammke aliyetekwa yanaweza kutoka.

Nimefuatilia mitandaoni hakuna sehemu kuna sauti inayosikika ya mwanamke huyu akisema maneno yaliyoripotiwa na vyombo vya habari vya mwananchi.

Lakini pia hakuna uthibitisho wowote uliotolewa na chombo husika kukanusha kauli yake kwamba HATA KAMA ANGEKUWA ANAJIUZA HAKUSTAHILI KUNYANYASWA.

Nimeona wanawake wengi wanamshambulia RPC kwamba ametenda kinyume cha maadili. Naomba niseme aliyekwenda kinyume cha maadili ni mwandishi wa habari. Tukiruhusu waandishi wa habari waandike wanavyotaka wao bila kukemea ipo siku itatoka habari ya kisiasa yakutuhumu mwanasiasa jambo ambalo hana uelewa nalo na tutakosa nguvu ya kukemea au kutafuta ukweli.

Viongozi watetezi wa haki za binadamu na mashirika mengine tuleteeni clip inayoonyesha haya mnayoyapinga ni kweli yamezungumzwa na muhusika.

Kesi hii ina interest kubwa ya jamii na kila mtu anatafuta namna ya kuvuruga kesi husika. Leo watu wamedanganywa nao wamehamia kwenye mjadala wakupambana na RPC ambaye ni mpambanaji wa haki za binadamu.

Upo uwezekano pia kwamba baada ya yeye kutaka watuhumiwa wafikishwe mahakamani labda wapo watu waliona siyo muda muafaka. Au yawezekana alipinga maamuzi flani ikabidi iwekewe zengwe.

Utaona hata baada ya RPC kuondoka chombo hicho kiliripoti kwa herufi kubwa MALAYA AMWONDOA RPC.....

Mimi natoa pole kwa huyu mama kwa magumu anayopitia lakini nitabaki kuamini huyu ni POlisi mcha Mungu, mpigania haki za wanawake toka akiwa Songwe na Mpenda haki.
 
Katolewa kafara alitumwa kupima upepo wa raia, upepo ukawa mkali akatolewa sadaka, kesho yake wakatangaza kupeleka watuhumiwa mahakamani

Kesi itaendeshwa kwa muhongozo huko kwa mawakili wa utetezi kua yule alikua kahaba anajiuza
 
Nimefuatilia mitandaoni nyendo za RPC Dodoma aliyeondolewa, nimefuatilia kuona mahusiano yake na jamii pamoja na utendaji kazi wake. Nachelea kuamini kwamba katika kinywa kile maneno yakumdhalilisha mwanammke aliyetekwa yanaweza kutoka.

Nimefuatilia mitandaoni hakuna sehemu kuna sauti inayosikika ya mwanamke huyu akisema maneno yaliyoripotiwa na vyombo vya habari vya mwananchi.

Lakini pia hakuna uthibitisho wowote uliotolewa na chombo husika kukanusha kauli yake kwamba HATA KAMA ANGEKUWA ANAJIUZA HAKUSTAHILI KUNYANYASWA.

Nimeona wanawake wengi wanamshambulia RPC kwamba ametenda kinyume cha maadili. Naomba niseme aliyekwenda kinyume cha maadili ni mwandishi wa habari. Tukiruhusu waandishi wa habari waandike wanavyotaka wao bila kukemea ipo siku itatoka habari ya kisiasa yakutuhumu mwanasiasa jambo ambalo hana uelewa nalo na tutakosa nguvu ya kukemea au kutafuta ukweli.

Viongozi watetezi wa haki za binadamu na mashirika mengine tuleteeni clip inayoonyesha haya mnayoyapinga ni kweli yamezungumzwa na muhusika.

Kesi hii ina interest kubwa ya jamii na kila mtu anatafuta namna ya kuvuruga kesi husika. Leo watu wamedanganywa nao wamehamia kwenye mjadala wakupambana na RPC ambaye ni mpambanaji wa haki za binadamu.

Upo uwezekano pia kwamba baada ya yeye kutaka watuhumiwa wafikishwe mahakamani labda wapo watu waliona siyo muda muafaka. Au yawezekana alipinga maamuzi flani ikabidi iwekewe zengwe.

Utaona hata baada ya RPC kuondoka chombo hicho kiliripoti kwa herufi kubwa MALAYA AMWONDOA RPC.....

Mimi natoa pole kwa huyu mama kwa magumu anayopitia lakini nitabaki kuamini huyu ni POlisi mcha Mungu, mpigania haki za wanawake toka akiwa Songwe na Mpenda haki.
Unajipendekeza ?
 
Yaani ni kwamba tunamtaka na AFANDE ajitokeze.

Hii kitu itaondoka na vichwa vya wengi.
 
Emu tuambie sababu ya ndani kabisa inayokufanya umtetee huyo mama...
 
Hamna kitu pale..ni jamii ya watu kama Nape utendaji zero ila anapenda kujionyesha kwenye camera.. ngoja akasome magazeti hapo makao makuu akili imkae sawa.
 
Ninanashaka na uwezo wako wa kusikia mkuu au unamatatizo ya masikio?
 
Wewe na Waliomuweka madarakani nani anaweza kumchunguza huyu mama,Usiridhishwe na clip za mitandaoni mzee.
 
Back
Top Bottom