LGE2024 Nimefuatwa Nyumbani na kulazimishwa kuandikishwa

LGE2024 Nimefuatwa Nyumbani na kulazimishwa kuandikishwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
3,384
Reaction score
2,073
CCM na serikali yake hawapaswi kutulazimisha kujiandikisha katika uchaguzi huu mdogo badala yake mnapaswa kujiuliza kwanini watanzania hawataki kupiga kura

Ni wazi kwamba wananchi walio wengi wamegundua kuwa hizi kura ni kiinimacho tu lkn ushindi kwenu lazima

Mtu mwenye akili timamu hawezi kupoteza muda kupanga foleni kupiga kura ambayo haitopewa heshima ya kimaamuzi

Watanzania waliowengi wameshawagundua na Sasa wamewasusia Sasa mwatufatia nini majumbani mwetu kutufosi kutuandikisha.
 
CCM na serikali yake hawapaswi kutulazimisha kujiandikisha katika uchaguzi huu mdogo badala yake mnapaswa kujiuliza kwanini watanzania hawataki kupiga kura

Ni wazi kwamba wananchi walio wengi wamegundua kuwa hizi kura ni kiinimacho tu lkn ushindi kwenu lazima

Mtu mwenye akili timamu hawezi kupoteza muda kupanga foleni kupiga kura ambayo haitopewa heshima ya kimaamuzi

Watanzania waliowengi wameshawagundua na Sasa wamewasusia Sasa mwatufatia nini majumbani mwetu kutufosi kutuandikisha.
katiba inakataza kulazimisha wananchi kushiriki mambo ya kisiasa
Hawafwatagi Katiba hawa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
Ccm bila figisu haina uwezo wa kushinda hata kwa asilimia 20, humu utawaona machawa hupiga kelele sana ccm inapendwa mama amejaza uwanja na mambo mengine kumbe huchukuwa watoto wa shule na kuwalazimisha kuenda mkutanoni na kuwalazimisha kujiandikisha.
20241014_062244.jpg
 
Wamendiandikisha lkn sitopiga kura
 
Back
Top Bottom