Nimefumania alfajiri na mapema

Nimefumania alfajiri na mapema

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,290
Reaction score
2,468
Bado sijajua kama naumia moyo ama la. Natokea msibani alfajiri kabisa ili nifike nyumbani nipumzike kidogo then nijiandae kwa kazini. Nikachukua boda ili niwahi. Mimi na yy tuko majirani tu na kahamia hapo kama siku 3 hivi. Jioni iliyopita tuliagana vizuri baada ya kusolv tofauti zetu. Sasa hiyo alfajiri napita naona kwa mbele taxi inapaki, chumba cha huyo mwanamke kiko wazi na taa inawaka saa 11 ile. Ndipo nikashuka toka boda2 nikajibanza sehem kushuhudia. Nikaamua kwenda hadi mlangoni. Jamaa ndo alikuwa anamuaga akamuachia na vijisent. Binti akamtolea kubaz zake nje ndo akanikuta nimesimama. Anajua kujicontrol. Jamaa akatoka tukasalimiana akaenda kupanda taxi... Nimemwaga on the spot. Wito wangu kwa wanaume, mwanamke akishaanza kuwa na viswahili vingi muogope.
 
Bado sijajua kama naumia moyo ama la. Natokea msibani alfajiri kabisa ili nifike nyumbani nipumzike kidogo then nijiandae kwa kazini. Nikachukua boda ili niwahi. Mimi na yy tuko majirani tu na kahamia hapo kama siku 3 hivi. Jioni iliyopita tuliagana vizuri baada ya kusolv tofauti zetu. Sasa hiyo alfajiri napita naona kwa mbele taxi inapaki, chumba cha huyo mwanamke kiko wazi na taa inawaka saa 11 ile. Ndipo nikashuka toka boda2 nikajibanza sehem kushuhudia. Nikaamua kwenda hadi mlangoni. Jamaa ndo alikuwa anamuaga akamuachia na vijisent. Binti akamtolea kubaz zake nje ndo akanikuta nimesimama. Anajua kujicontrol. Jamaa akatoka tukasalimiana akaenda kupanda taxi... Nimemwaga on the spot. Wito wangu kwa wanaume, mwanamke akishaanza kuwa na viswahili vingi muogope.

Hahahaha alikuwa anawapanga kama foleni za magari za Dar es salaam
Bora umemtosa i see wewe hujawahi lala kwake hapo?
Pole kwa kumpangia chumba jirani na kwako
 
Bado sijajua kama naumia moyo ama la. Natokea msibani alfajiri kabisa ili nifike nyumbani nipumzike kidogo then nijiandae kwa kazini. Nikachukua boda ili niwahi. Mimi na yy tuko majirani tu na kahamia hapo kama siku 3 hivi. Jioni iliyopita tuliagana vizuri baada ya kusolv tofauti zetu. Sasa hiyo alfajiri napita naona kwa mbele taxi inapaki, chumba cha huyo mwanamke kiko wazi na taa inawaka saa 11 ile. Ndipo nikashuka toka boda2 nikajibanza sehem kushuhudia. Nikaamua kwenda hadi mlangoni. Jamaa ndo alikuwa anamuaga akamuachia na vijisent. Binti akamtolea kubaz zake nje ndo akanikuta nimesimama. Anajua kujicontrol. Jamaa akatoka tukasalimiana akaenda kupanda taxi... Nimemwaga on the spot. Wito wangu kwa wanaume, mwanamke akishaanza kuwa na viswahili vingi muogope.

Well done my son!
 
Duh, kweli hujitambui, kama kimetokea leo.

Pole lakini, ndo ukubwa huo.
 
Pole ndio ukubwa huo.. Next tym kuwa makini mwana, nunua kubazi nzuri zaidi yake na nenda na Aboud bus kabisa kwake taksi kitu gani bana...
 
Pole, lakini afadhali hivi unavyojua alipokuweka kuliko huyo mwenzako ambaye pengine hana ufahamu.
 
Dah! Women noma. Naanza kujisikia vibaya, nikijua kabisa kuwa nilikuwa nampenda na hakuna kitakachonifanya wala kunishawishi kurudiana nae
 
pole sana Wallet....


halafu, hivi kuna wanaume wanajiamini eeeh, anaenda kulala kwa demu wake? loh
 
Hilo ni mojawapo kati ya mambo ambayo uliambiwa kua uyaone kwa hiyo ndio ukubwa huo
 
Dah! Women noma. Naanza kujisikia vibaya, nikijua kabisa kuwa nilikuwa nampenda na hakuna kitakachonifanya wala kunishawishi kurudiana nae
Pole sana, shukuru mungu vile kakuonyesha mapema kabla hamjakuwa mke na mume!


Itakuuma sana ila huna budi kukubaliana na matokeo ili maisha yasonge! Hiyo hali itapita manake ni ya muda tu!.. Usikae kuusononesha moyo wako kwaajili ya mtu mzima mwenzio!
 
pole sana Wallet....


halafu, hivi kuna wanaume wanajiamini eeeh,
anaenda kulala kwa demu wake? loh

hii ilitokea kwa jamaa yangu mmoja....yeye alilala kwa demu wa mjeda....ghafla bin vuu mjeda akatoroka kambini..... ......kilichotokea....inahitajika thread binafsi....
 
Alikuwa mkeo au mpenzi wako? Umemfumaniaje sasa maana inaonekana you don't have any permanent bond!
 
Pole sana,wanawake wengine hawaridhiki.KUBAZ maana yake nini?
 
pole sn, ni kweli inauma naungana na wenzangu kukwambia ndo ukubwa.
 
hahahahahaaa umefanya nicheke.....napata picha timbwili lake lilikuwaje...

Ila inahitajika moyo wa chuma i see, heri umwambie mwanamke alale kwako, ikishindikana heri kutafuta hoteli....


hii ilitokea kwa jamaa yangu mmoja....yeye alilala kwa demu wa mjeda....ghafla bin vuu mjeda akatoroka kambini..... ......kilichotokea....inahitajika thread binafsi....
 
Back
Top Bottom