Nimefumania alfajiri na mapema

Mimi hata kurudi au namba zake za simu nafuta! Ni changamoto kwako pia, this is your life, tulia na fanya inshu zako za maana! utampata anayekupenda na kukuheshimu. Huyo hakuwa wako mkuu wala hauna haja ya kujiumiza, wewe siyo wa kwanza umefanya kuongeza idadi ya walioumizwa kwenye mahusiano.
 
Vidume kama nyie ndo mnatakiwa sasa..na cyo kina ooh nkamchunia cjapokea cmu,.. Uku roho znadundia kwenye boxa..bigap bro

Kidume? kidume analiwa demu wake? dawa ya mwanamke ni rijali wa ukweli, ukiwa rijali wa maana mwanamke haipeleki kwingine, hata alale na njaa.
 
ningependa nijue kilichofata baada ya msela kuondoka, inamana hukumuuliza chochote?
 
Kidume? kidume analiwa demu wake? dawa ya mwanamke ni rijali wa ukweli, ukiwa rijali wa maana mwanamke haipeleki kwingine, hata alale na njaa.

unahitaji darasa. Unadhani kuwa kwenye mahusiano ni kuchimbuana tu? We kweli kenge, kazi yako kuvizia mayai. Sikujibu tena, ila nitasoma upuuzi wako
 
ningependa nijue kilichofata baada ya msela kuondoka, inamana hukumuuliza chochote?

sikutaka kujua chochote kwani jioni kabla ya tukio tuliyozungumza na nilichoona havifanani. Hata kama nilichangia, bora aende na si kufanya vile
 
Kidume? kidume analiwa demu wake? dawa ya mwanamke ni rijali wa ukweli, ukiwa rijali wa maana mwanamke haipeleki kwingine, hata alale na njaa.

we hayajakukuta af pia mwenzako ameeleza yalomkuta,inkifup nakushangaa sana unavomshtum kuwa c rijal,na nauhakika ungekuwa wew ungerusha ngumi,bt ametumia utimamu wake na ustarab ktk kutatua tatizo,urijal c kukamua tui tu kitandan bro,..
 
Dah! Women noma. Naanza kujisikia vibaya, nikijua kabisa kuwa nilikuwa nampenda na hakuna kitakachonifanya wala kunishawishi kurudiana nae

Consider that as a punch on your chin that has landed you on the floor. Just collect yourself, stand up and plan another move soberly. Don't you hurry up because you might take another upper cut and receive more pains. By the way this could be a blessing in disguise for you.
 




mizambwa
inaniuma sana!!!
 
we hayajakukuta af pia mwenzako ameeleza yalomkuta,inkifup nakushangaa sana unavomshtum kuwa c rijal,na nauhakika ungekuwa wew ungerusha ngumi,bt ametumia utimamu wake na ustarab ktk kutatua tatizo,urijal c kukamua tui tu kitandan bro,..

Tatizo bado HAJAKUA, AKIKUA ATAYAJUA MAISHA.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Pole sana! Hiyo inaitwa kipya kinyemi..

Kisicho riziki hakiliki. Wewe ulimuokota wapi huyo demu asiye na aibu? Yale yale mnapenda vitu vya bure, inawezakana hukuwa unamuachia kitu kidogo ndiyo maana kaamua kuleta msaidizi wako.

Kula kona kwani nini bwana! wapi kibao wanakusubiri tena wenye hesha zao.
 
Never trust woman under the sun.
 

we utakuwa bondia bila shaka. BTW thx for that piece of advice. I don want KO
 
We mlinzi? na pili mademu kama una ela watazigawa kwa serengeti bys! na kama hauna ela basi ujue kuna wazee wanam2nza m2 wao! we demu iphone au bb na migodi yakutosha na anashine mbya bado unampgia hesabu!?
 
Pole sana. Huyo hafai si mwaminifu. Be care asije akakuletea magonjwa.Hakufai achape mwendo huyo kashazoea hiyo tabia mshukuru Mungu kakuonyesha.
 
Uzuri wa moyo unajua kupenda, tatizo la moyo unaogopa kutendwa, ulishampenda kwamoyo wote na leo kaenda,,

source: ney wamitego.

Let her go boy,
 
we hayajakukuta af pia mwenzako ameeleza yalomkuta,inkifup nakushangaa sana unavomshtum kuwa c rijal,na nauhakika ungekuwa wew ungerusha ngumi,bt ametumia utimamu wake na ustarab ktk kutatua tatizo,urijal c kukamua tui tu kitandan bro,..

Mwanamke anaepata akakolea yupo radhi kulala na njaa. Urijali sio kusimamisha tu, ni pamoja na kutunza na kutoa mahaba na kumkinaisha mwanamke na vitamanio vyote. Huyo wallet hata akichukuwa mwengine leo mambo yatakuwa hivyo hivyo tu.
 
Mwanamke anaepata akakolea yupo radhi kulala na njaa. Urijali sio kusimamisha tu, ni pamoja na kutunza na kutoa mahaba na kumkinaisha mwanamke na vitamanio vyote. Huyo wallet hata akichukuwa mwengine leo mambo yatakuwa hivyo hivyo tu.

lool ngoja aje ajibu mwenyewe..me ngoja nkachukue maujuz kwenye kaz za asali kulee
 

Mjomba wake huyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…