Nimefumaniwa naomba mnisaidie!

Mhh!nilikuja mbio kumbe mizinga?
Ngoja nigeuke nikaendelee kuchapa supu langu la bamia na ngogwe!
We endelea na fumanizi lako.
 
Ndg zangu wana jf.
Mwenzenu nimefumaniwa na"pasaka"
Yaani pasaka imenikuta nikiwa hovyo,sijui hata namna ya kutoka leo,mifuko yote imetoboka wakuu,tafadhari msaada.
Situmii bia,mimi yangu soda na nusu kuku!

Nadhani ulitaka kuchekesha watu lakini kama ni kweli jipe moyo hayo ndiyo maisha mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…