Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa!!kudra hazishindi uwezo!!japo ni vizuri kutiana moyo lakini ukweli "HATUTOBOIIII!!!Mzuka wanajamvi!
Kwaanzia usiku huu hadi kesho jioni nimefunga kwa ajili ya timu yetu pendwa ya taifa stars ishinde mechi zake zote zilizo salia na ifuzu kombe la dunia
Wewe siyo mzalendoHahaaa!!kudra hazishindi uwezo!!japo ni vizuri kutiana moyo lakini ukweli "HATUTOBOIIII!!!
Kuna mambo ya kuleta uzalendo kama tozo ila sio Congo bro wameshusha full biriani acha tukazulule turudiWewe siyo mzalendo
Ibada ni ujinga bwana mdogo?acha ujinga mzee utakufa njaa
Ibada gani ya kushinda njaa kwa timu za mchangani.Ibada ni ujinga bwana mdogo?
Unajuaje siombeagi mambo mengine? Maombea sana lakini hii ni siku maalum ya kuiombea taifa stars na tutashinda mechi zote zilizo salia. Tukutane kesho baada ya mechi.unaacha kuombea mambo muhimu,,,,,,,unaombea mpira,,,,,,
Acha chuki za kisoro wewee. Taifa Stars siyo CCM uichukie!Ibada gani ya kushinda njaa kwa timu za mchangani.
Merci PapaaNaiombea timu yangu ya Congo DRC tushinde goli 1 tu
Naungana na wewe!Nimefunga arobaini, pamoja na maombi mengine naomba Mungu amwondolee Freeman Aikaeli Mbowe teso hilo.
Kipimo walichompimia watesi wake wapimiwe wao na kusukwasukwa.