Nimefungua biashara hii week ya tatu tangu tuanze, ila naona imedorora sana

Nimefungua biashara hii week ya tatu tangu tuanze, ila naona imedorora sana

marrykate

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2012
Posts
733
Reaction score
443
Habari ya mchana wakuu

Nahisi kuchanganikwa hapa, nimefungua biashara hii week ya tatu tangu tuanze, ila naona imedorora sana, pesa iliyopatikan ni ya kulipa watumishi tu,hivi hii ni kawaida kwa biashara yoyote mpya inavyoanza anza au kwangu imenigomea tu.
 
Habari ya mchana wakuu

Nahisi kuchanganikwa hapa, nimefungua biashara hii week ya tatu tangu tuanze, ila naona imedorora sana, pesa iliyopatikan ni ya kulipa watumishi tu,hivi hii ni kawaida kwa biashara yoyote mpya inavyoanza anza au kwangu imenigomea tu.
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Screenshot_20180405-155937.jpg
 
Emu tuambie ni bishara gani dada unayofanya tunaweza kukusaidia mbinu nyengine za kuendesha iyo biashara saiv ukiamua kufanya biashara halaf ukakaa tu na kubweteka kusubir wateja waje dukan itakula kwako ni lazima uwe na mbinu mbadala ya kuweza kuwafikia wateja wako walipo.......
 
Emu tuambie ni bishara gani dada unayofanya tunaweza kukusaidia mbinu nyengine za kuendesha iyo biashara saiv ukiamua kufanya biashara halaf ukakaa tu na kubweteka kusubir wateja waje dukan itakula kwako ni lazima uwe na mbinu mbadala ya kuweza kuwafikia wateja wako walipo.......

ni salon ya kiume
 
Habari ya mchana wakuu

Nahisi kuchanganikwa hapa, nimefungua biashara hii week ya tatu tangu tuanze, ila naona imedorora sana, pesa iliyopatikan ni ya kulipa watumishi tu,hivi hii ni kawaida kwa biashara yoyote mpya inavyoanza anza au kwangu imenigomea tu.
Unafaanya bishara gani, ya chakula nini? (Mgahawa)
 
Emu tuambie ni bishara gani dada unayofanya tunaweza kukusaidia mbinu nyengine za kuendesha iyo biashara saiv ukiamua kufanya biashara halaf ukakaa tu na kubweteka kusubir wateja waje dukan itakula kwako ni lazima uwe na mbinu mbadala ya kuweza kuwafikia wateja wako walipo.......
Ni kweli kabisa nishashuhudia wanaofungua biashara, mimi hua natembelea mawakala wadogo wanaokata ticket za ndege/booking za hotel nakutoa huduma za utalii. Moja ya changamoto hua wanakaa nakusubir. Wateja ambao sio jinsi biashara ya sasa ilivo. Shamba la bibi siku izi lina uzio sio kila mtu anakula bure [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yep. Wachumi wanakwambia hivi:
Shut down conditions:
If a business does not make economic profit but is able to cover variable costs in the short run, keep it running, in the long run you will be able to cover fixed costs + Return on investment.
If business does not make economic profit and you are not able to cover variable costs in the short run, shut it down...
 
unafanya biashara gani na wapi?
ulianza na mtaji wa kiasi gani?
 
ni salon ya kiume
Doooooh vpeee lakini ilo eneo ulilofungua iyo biashara population ya watu ikoje? Na je umeona pana uhitaji wa saloon ya kiume ndo maaana ukafungua? Na je ushindani wa iyo biashara apo eneo ulilopo ukoje ? Au umefungua tu kwa kua umepata frame ya bei rahisi? Ok tumia mitandao ya kijamii Inatgram fb Magroup ya whatssap kuvutia wateja Insha Allah M/Mungu atakujalia utafanikiwa
 
Ni kweli kabisa nishashuhudia wanaofungua biashara, mimi hua natembelea mawakala wadogo wanaokata ticket za ndege/booking za hotel nakutoa huduma za utalii. Moja ya changamoto hua wanakaa nakusubir. Wateja ambao sio jinsi biashara ya sasa ilivo. Shamba la bibi siku izi lina uzio sio kila mtu anakula bure [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha daaah mtihani kwa kweli....
 
Bado mapema sana, tarajia kukuza biashara na sio kutaka faida.
 
Hahaha bro.umekosea sana!ulitakiwa uje uchukue UBUNIFU,UZOEFU.KWA WATU KAMA SISI.TUPO KWENYE GEMU TOKA ENZI ZA MWALIM.nafikiri umenielewa.
 
Boss kama pesa ya kulipia gharama za kama watumishi na umeme inapatikana hebu isubirie kidogo, pengine aliyekupa idea ya salon alikupa estimations za faida huku akiwa ameweka kila kitu on average. Mfano frame, pesa ambayo kila kiti kitakupa, na pesa yao wenyewe.

Ila ninavyojua salon hua kinyozi anajilipa mwenyewe, wewe unamwambia kua hiki kiti kwa siku kinipe elfu saba au elfu moja au elfu kumi, kwahiyo asipopiga kazi ni juu yake.
 
Wiki ya tatu na unaweza kucover pesa ya kuendesha biashara na bado unasema imedorora????.Vuta subira na jaribu kuboresha zaidi .Tatizo hapa naona ni ww maana ulitegemea faida ya haraka!!Usikate tamaa
 
Back
Top Bottom