Nimefungua duka, nipeni ujanja wa kutoboa kwa kuwa Mangi

Joined
Sep 5, 2022
Posts
87
Reaction score
141
Maisha yana ups and down nimefungua duka kibanda nauza kila kinachokuja kichwani nauza kila kitu ambacho nimeulizwa na wateja wangu. Je ni sawa?

Nifanyeje ili nipate faida? duka langu lipo njiapanda ya Himo karibu na Mizani mpya ndio naanza nimeanza kwa kukesha 24 hrs lipo wazi

Naombeni ushauri na kama inawezekana mkipita hapa mniungishe

Nitaliita JAMII SHOP
 
Sasa wewe unachekesha unafanyaje biashara usiyoijua? Hukufanya utafiti kabla ya kuanza. Yaani utafiti wako unakuja baada ya kuanza biashara. Maswali yako ni ya awali kabisa kabla hujaanza biashara.

Anyway good luck!
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚wakishuaaaa hizo namba natamani zigeuke notiiiii
Weuh
Unakaribia likes 1M
Nasubiri kuona zitajiandikaje hapo
 
Utajiri ni siri na siri sio kuiropokaropoka
 
Ila Depal wewe ni noma hadi likes unafatilia๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Fanya utafiti wa vitu vinavyotoka kwenye eneo husika.Weka daftari ya matumizi na mapato.
Mali bila daftari huisha bila habari.Kuwa mvumilivu mwanzoni biashara huwa ni ngumu.
 
Weka faida ya 18% kwenye kila bidhaa. 10% ya mauzo kula, hiyo 8% ongezea mtaji.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚wakishuaaaa hizo namba natamani zigeuke notiiiii
Tutazipeleka bureau de change ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ