Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
Vyema sana kijana ondoa hofu kabisa hata ukiuza 2k per day relax it's okay for a new busnesssasa hv camera inasumbuaView attachment 2515231
USIMAMIZI: Nimeona picha duka lako kwa kuanza ni zuri, siyo lazima uanze na mtaji mkubwa sana ingawa pia mtaji mkubwa ni kigezo muhimu cha kupata mafanikio ya haraka kwenye biashara ya duka. Pointi yangu muhimu ni kwenye usimamizi wa duka linaloanza kama hili la kwako, kina Mangi wengi unaowaona wakifakikiwa katika biashara za maduka si kama wanakwenda kwa sangoma (waganga) hapana, siri yao kubwa ipo katika usimaimiaji. Komaa hapo dukani mwenyewe ujue kila shilingi inayoingia na inayotoka.Maisha yana ups and down nimefungua duka kibanda nauza kila kinachokuja kichwani nauza kila kitu ambacho nimeulizwa na wateja wangu. Je ni sawa?
Nifanyeje ili nipate faida? duka langu lipo njiapanda ya Himo karibu na Mizani mpya ndio naanza nimeanza kwa kukesha 24 hrs lipo wazi
Naombeni ushauri na kama inawezekana mkipita hapa mniungishe
Nitaliita JAMII SHOP
Zitakusaidia nini?Ngoja na mimi nijitahidi kuazisha nyuzi nifikishe likes bilione na ushee😬
Mkuu unachoambiwa kiko sawa ubahili ndo mpango mzima.nlishawahi kumilik duka naelewa japo kula hakufirisi
Hongera sana mkuusasa hv camera inasumbuaView attachment 2515231