Nimefunguliwa mashtaka bandia polisi. Haki zangu ni zipi?

Nimefunguliwa mashtaka bandia polisi. Haki zangu ni zipi?

Mwanantala

Senior Member
Joined
May 13, 2010
Posts
130
Reaction score
26
Heshima kwenu wakuu. Naomba msaada wenu kuhusu sheria kwa mashtaka bandia. Nimeshtakiwa polisi na mtu nisiyemjua akidai kwamba alinipa pesa. Nimemuuliza mpelelezi huyo mlalamikaji kama ananifahamu lakini hakunijibu. Naomba mwongozo wenu ili jalada hili litumike kunilipa fidia kwa kunichafulia jina langu.
 
Back
Top Bottom