Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Posta to tegeta ACHA kupotosha tayri?? Kwa maana kua inatumika.BIG NO
E wotee pemben wako kwenye eneo la serkl mkuu tunawapa siju 30 tu simpleNimefurahi kwamba Mwendokasi kutoka Kariakoo hadi Mbagala mambo safi na pia njia ya Posta hadi Tegeta inajengwa. Hata hivyo, nachojiuliza kuhusu ile njia ya Bunju hadi Bagamoyo, watawezaje kuifanya kwa sababu njia ni nyembamba sana.
Itakuwa poa sana kama ikifika Bagamoyo!
Bado CHADEMA wanataka kuandamana?Nimefurahi kwamba Mwendokasi kutoka Kariakoo hadi Mbagala mambo safi na pia njia ya Posta hadi Tegeta inajengwa. Hata hivyo, nachojiuliza kuhusu ile njia ya Bunju hadi Bagamoyo, watawezaje kuifanya kwa sababu njia ni nyembamba sana.
Itakuwa poa sana kama ikifika Bagamoyo!
Mbagala wanaleta Scania Marcopolo G7 full AC. Mmetucheka sana watu wa Mbagala ila mabasi yetu yatakuwa kama UswisiShida ya Mwendokasi sio tu barabara, magari.
Njia ya Posta-Kimara bado shida kubwa sana,
🤣🤣🤣🤣🤣Mbagala wanaleta Scania Marcopolo G7 full AC. Mmetucheka sana watu wa Mbagala ila mabasi yetu yatakuwa kama Uswisi