Habari zenu wanajukwaaa!!! nina furaha isiyo kifani kuwa miongoni mwa wanajukwaa hili la watu makini!! nimekuwa nikisoma mada zenu mbalimbali na majibizano au majadiliano yenu na kuvutiwa sana! niwataje angalau kina lara 1, tyta, mamdenyi, mdengereko mmmmh!! mko wengi siwez kuwataja wote!! naheshimu mawazo yenu kila mmoja kwa nafas yake!! labda niseme tu !HODI JAMII FORUM!
Habari wanajukwaa.
Nina furaha isiyo kifani kuwa miongoni mwa wanajukwaa hili la watu makini nimekuwa nikisoma mada zenu mbalimbali na majibizano au majadiliano yenu na kuvutiwa sana.
Niwataje angalau kina lara 1, tyta, mamdenyi, mdengereko mh!! Mko wengi siwezi kuwataja wote, naheshimu mawazo yenu kila mmoja kwa nafasi yake labda niseme tu.
Hodi! Jamii Forums.