LGE2024 Nimefurahi yaliyotokea kwa CHADEMA Serikali za Mitaa

LGE2024 Nimefurahi yaliyotokea kwa CHADEMA Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Wakati misuko misuko ya kisiasa ilipokuwa upande wa Zanzibar, wanasiasa wengi waliamini mizozo ya kisiasa ya Zanzibar ni ya kihistoria, hawakujua kwamba ilikua nguvu moja kuindoa nyingine. Wanajf wengi wakiponda wakiona kama mambo ya kufikirikika.

Sasa yamehamia upande wa pili. Ambao enzi walihisi hatayafika ni ya kufikirika fikirika na hadithi za bunuasi.

CHADEMA na wanaharakati wajifunze. Kula na kushiba hakuna dini wala kabila, hakuna binaadam asietaka kutembea na gari nzuri au kuishi ya starehe, labda wachache wanaongalia maisha yao baada ya kufa yatakuwa vipi, vyenginevyo utaamini umetumwa duniani kuja kuongoza na sio kuongozwa
 
Sasa wale kobaz vijana wa pwani na Zanzibar mtawaokoaje na ushoga wanaoundekeza hasa kwenye vigodoro
Maada tofauti hizi. Ukiangalia kila siku Vatican wanaomba msamaha kwa kubaka watoto. Jee Vatica ipo pwani?
 
Ni kama watu wamemjulia mleta mada na kuamua kubadili uelekeo wa Uzi makusudi na wengine kumtukana.

Comments zinamtroll na kumfanyia sarcasm mleta mada.

Kweli Dhambi ya udini mbaya sana.
 
Ni kama watu wamemjulia mleta mada na kuamua kubadili uelekeo wa Uzi makusudi na wengine kumtukana.

Comments zinamtroll na kumfanyia sarcasm mleta mada.

Kweli Dhambi ya udini mbaya sana.
Serekali za mitaa haikuwa dini lkn chadema wanalia kila kona. Ulua hauna dini
 
Back
Top Bottom