FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Vyama sijui Hutumia mbinu gani kuwafanya watu wanafurahia maisha,ndugu Polepole tukitaka kujiunga tunaanzaje maana nachojua ktk chama watu wote ni sawa ila naona wengine wanapewa kadi ya chama na mh.rais, wengine wewe,sasa sijui mnapatikana vipi
Toeni mwongozo na vitu vinavyotakiwa kama ni kitambulisho, ada na mdhamini au la,pia wabsite ya chama muhimu Tutajulia wapi utaratibu.
Lengo ni kuwa mwanachama wa kawaida
Ila ndugu Polepole uwe unapokea simu na kujibu meseji ikiwemo whatsapp
Serikali zote ni kama jua zinaona pote hivyo ujumbe huu naamini umefika.
Instagram:kaukwaju
Toeni mwongozo na vitu vinavyotakiwa kama ni kitambulisho, ada na mdhamini au la,pia wabsite ya chama muhimu Tutajulia wapi utaratibu.
Lengo ni kuwa mwanachama wa kawaida
Ila ndugu Polepole uwe unapokea simu na kujibu meseji ikiwemo whatsapp
Serikali zote ni kama jua zinaona pote hivyo ujumbe huu naamini umefika.
Instagram:kaukwaju