Nimeghairi kuwa nae kwenye mahusiano baada ya kugundua kafanyiwa tohara

Nimeghairi kuwa nae kwenye mahusiano baada ya kugundua kafanyiwa tohara

Zero Competition

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
347
Reaction score
553
Huyu ni binti ambae nilianza kuwasiliana nae kama mwezi hivi umepita na sikutaka mambo ya kuonekana nina uchu kwa kumtongoza haraka haraka mana tulikutana kwenye event flani ndo tukapeana namba za simu.

Kwa muda wote huo tulikua tunajuliana hali na chatting za hapa na pale mpaka tukaanza kuzoeana.

Baada ya muda flani niliona sasa ni wakati sahihi wa kutupa ndoano lakini kitu allichoniambia kilinifanya nirudishe moyo nyuma.

Huyu binti alinambia yeye hana tatizo kuingia kwenye mahusiano na mimi ila amefanyiwa tohara alipokua mdogo hajitambui, je nitakubali kuwa nae huku akiwa na hali hiyo ??

Kiukweli baada ya yeye kunambia hivyo nilikata tamaa mana sijawahi kuwa na mwanamke wa dizaini kama yake ambae ametolewa clitoris na kama mnavyojua ile organ ni muhimu sana katika masuala ya kujamiiana mana raha yote ya mwanamke iko pale

Kuna yoyote mwenye uzoefu au ambae kashawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke aliekeketwa ? Na je huwa wana changamoto gani wanawake wa aina hii ?
 
Kukosa kwake kinembe, raha unakosa wewe ama yeye?
Kwamba ukichomeka DUNGUSO hukojoi?

Sio lazima umkojoze kwa kinembe, hata bila kinembe ukipiga pipe vizuri atakojoa tu, ama una mashaka na nguvu zako, huna pumzi ya kupiga pipe akakojoa?
 
Bila shaka ni wa kanda ile maalum.

Nmewahi kuwa na asie na antena, bro mkishazoeana ni shida penzi linanoga sana mwanzoni hisia zikiwa juu, kadri muda unavyozidi kusogea ni kilio tu yeye kuhisi maumivu, sijui ilikuwa kwa huyo tu au ndio wote wapo hivyo. Kwa uaminifu wanajitahidi.
 
Back
Top Bottom