NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 28
Hivi ni kweli hizi story au unataka kutuchangamsha akili zetu? ndio ndoa baadhi zilivyo hivi?
Hivi ni kweli hizi story au unataka kutuchangamsha akili zetu? ndio ndoa baadhi zilivyo hivi?
sure Nguli sitanii hapa kuna washauri sio mchezo nasubiri dondoo
mj1,fl1
Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
Ndugu pole sana kwa mswahibu yanayo kukuta... Mambo ya mke na mume ni mambo nyeti sana na yanataka uangalifu sana kwenye kutoa uhamuzi.Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
Bravooooooo,kaka ,pole sana na matatizo.
kosa ulilofanya: ulimchunguza mkeo bila ya kuwa na maamuzi mkononi. (yaani je nikimfuma kama ananiendea kinyume nitachukua hatua gani?)
hapa hakuna ushauri bali kuna maamuzi , na muamuzi ni wewe, je unaweza kumsamehe na kuishi nae katika hali kama hiyo au huwezi?.
kama ni mimi basi nisingelichunguza kama nishajua siwezi kumuacha
hujasema ulipomwambia alibehave vipi, what did she say, do? what did u see in her body language??? hakuna haja ya kumchunia kama bado mnaishi nyumba moja! are u ready to live with her after what you've found out???sababu gani zimemtuma kutafuta nje??? get answers to all this pertinet issues before u make a decision kama utaendelea kuwa naye ama la!
Alistuka sana
Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
sure Nguli sitanii hapa kuna washauri sio mchezo nasubiri dondoo
mj1,fl1
Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
Mimi nimeuliza unapoendelea na mgomo we unakula wapi? au unawezakukubali kufa na njaa?