Ndio maana nashindwa kuacha kondomu jamani. Nimezizoea hadi basi. Najiuliza nikioa itakuwaje, maana nahisi hata huyo mke sitamwamini, nitaendelea na mwendo wa kondomu kama kawa.
Mi hata mtu nikifuatana naye kwenda kupima ngoma na majibu yakawa negative, bado nina hofu tu, simwamini kwa sababu najua hata hao walioko positive leo kuna kipindi huko kabla walikuwa negative.
Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
What i can say JF nimejifunza kuwa tumetofautiana manake kuna watu wana Uvumilivu jamani. Kwingine au kwa mwingine hii ingeshakuwa murder case kitambo
Ndio maana nashindwa kuacha kondomu jamani. Nimezizoea hadi basi. Najiuliza nikioa itakuwaje, maana nahisi hata huyo mke sitamwamini, nitaendelea na mwendo wa kondomu kama kawa.
Mi hata mtu nikifuatana naye kwenda kupima ngoma na majibu yakawa negative, bado nina hofu tu, simwamini kwa sababu najua hata hao walioko positive leo kuna kipindi huko kabla walikuwa negative.
Ndio maana nashindwa kuacha kondomu jamani. Nimezizoea hadi basi. Najiuliza nikioa itakuwaje, maana nahisi hata huyo mke sitamwamini, nitaendelea na mwendo wa kondomu kama kawa.
Mi hata mtu nikifuatana naye kwenda kupima ngoma na majibu yakawa negative, bado nina hofu tu, simwamini kwa sababu najua hata hao walioko positive leo kuna kipindi huko kabla walikuwa negative.
bora kufa na njaa kuliko mengine
Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
mwendo mdundo hakuna kulala asikufanye *****🙁Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na kumshauri aendelee nao tu maana inaonekana kanichoka
Je niendelee na msimamo wangu?? nishaurini vyema
mmmn pole sana, maisha ya ndoa ya miaka hii ni kiboko hayatamanishi kabisa. kuwa na wanaume 2 nje huyu ni changudoa sijui anatafuta nini. lakini dawa uliyompa ni kbwa sana ila muhamishe chumba kabisa for sometime hakika atajirekebisha na kukuomba msamaha, asipofanya hivyo basi ye anayake.