Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wadau hamjamboni,
Wiki ya 6 Sasa nipo Dar nikitokea Arusha.
Naomba bila kupoteza muda niende Moja kwa Moja kwenye mada yangu!
Nimegundua bia za Sinza ni tamu zaidi kuliko maeneo mengine ya Dar kama vile Mbagala, Temeke, Tandika, Buguruni, Tandale, Tabata, Mwananyamala, Kipawa, Manzese, Ubungo, Kigamboni, Kongowe n.k.
Sijui ni Kwanini lakini huo ndiyo ukweli.
Karibuni
Wiki ya 6 Sasa nipo Dar nikitokea Arusha.
Naomba bila kupoteza muda niende Moja kwa Moja kwenye mada yangu!
Nimegundua bia za Sinza ni tamu zaidi kuliko maeneo mengine ya Dar kama vile Mbagala, Temeke, Tandika, Buguruni, Tandale, Tabata, Mwananyamala, Kipawa, Manzese, Ubungo, Kigamboni, Kongowe n.k.
Sijui ni Kwanini lakini huo ndiyo ukweli.
Karibuni