MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kama huna Hela......
1. Usiwe na Wivu na Mkeo au Mpenzi wako
2. Usimhojihoji sana Mkeo au Mpenzi wako
3. Kuwa Mpole na Mnyenyekevu mno kwa Mkeo au Mpenzi wako
4. Usisumbuke Kuthubutu Kukagua Simu yake ( Mkeo au Mpenzi wako ) kwani utakayokutana nayo huko ya Urusi na Ukraine yana afadhali
5. Ukiwa nae Faraghani ( Mkeo au Mpenzi wako ) akikuambia anataka 'Kimoko' tu cha Mayele na apumzike zake mtii kwa hilo haraka sana
6. Simu yake ikiwa inaita na hasa ukiona anayempigia ni Mwanaume mwenzako na akiwa nayo mbali onyesha Ushirikiano kwa kumpelekea aliko huku Tabasamu likitawala katika Sura yako ( Nyago lako )
7. Jitahidi Kazi zote za Nyumbani hasa hasa za Kupiga Deki, Kusafisha Chooni na Kukuna Nazi ( ukiwa nawe umekaa Kiupande upande ) uwe unaifanya Wewe
Tafuta Hela ili Usigongewe Mtu wako!!!!
1. Usiwe na Wivu na Mkeo au Mpenzi wako
2. Usimhojihoji sana Mkeo au Mpenzi wako
3. Kuwa Mpole na Mnyenyekevu mno kwa Mkeo au Mpenzi wako
4. Usisumbuke Kuthubutu Kukagua Simu yake ( Mkeo au Mpenzi wako ) kwani utakayokutana nayo huko ya Urusi na Ukraine yana afadhali
5. Ukiwa nae Faraghani ( Mkeo au Mpenzi wako ) akikuambia anataka 'Kimoko' tu cha Mayele na apumzike zake mtii kwa hilo haraka sana
6. Simu yake ikiwa inaita na hasa ukiona anayempigia ni Mwanaume mwenzako na akiwa nayo mbali onyesha Ushirikiano kwa kumpelekea aliko huku Tabasamu likitawala katika Sura yako ( Nyago lako )
7. Jitahidi Kazi zote za Nyumbani hasa hasa za Kupiga Deki, Kusafisha Chooni na Kukuna Nazi ( ukiwa nawe umekaa Kiupande upande ) uwe unaifanya Wewe
Tafuta Hela ili Usigongewe Mtu wako!!!!