Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Tumia application ya mirror kwenye simu ndo utajua sura yako halisiHatimaye baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ,nimekuja kugundua kuwa kioo hakioneshi picha halisi ya mtu
Nimekuja kugundua hivi kwa sababu kuna vioo nikienda kujiangalia najiona bonge la handsome lakini kuna vingine nikijiangalia mpaka najiogopa kwa kweli
Kivipi?Una mambo ya kitoto Sana dogo.
Haya ushaonekana na weweNI KWELI KABISA UKISHA GONGAGA NDUMU LAZIMA UJIONE BONGE.
Ushauri:
Acha bange unaelekea kubaya.
You are correctHatimaye baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ,nimekuja kugundua kuwa kioo hakioneshi picha halisi ya mtu
Nimekuja kugundua hivi kwa sababu kuna vioo nikienda kujiangalia najiona bonge la handsome lakini kuna vingine nikijiangalia mpaka najiogopa kwa kweli
Wewe ndio mtotoUna mambo ya kitoto Sana dogo.
Wacha bwana[emoji38]Hatimaye baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ,nimekuja kugundua kuwa kioo hakioneshi picha halisi ya mtu
Nimekuja kugundua hivi kwa sababu kuna vioo nikienda kujiangalia najiona bonge la handsome lakini kuna vingine nikijiangalia mpaka najiogopa kwa kweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hatimaye baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ,nimekuja kugundua kuwa kioo hakioneshi picha halisi ya mtu
Nimekuja kugundua hivi kwa sababu kuna vioo nikienda kujiangalia najiona bonge la handsome lakini kuna vingine nikijiangalia mpaka najiogopa kwa kweli
Kama hunasoma physic nakuomba tafuta mpenzi aliyesoma ili akusaidieHatimaye baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu ,nimekuja kugundua kuwa kioo hakioneshi picha halisi ya mtu
Nimekuja kugundua hivi kwa sababu kuna vioo nikienda kujiangalia najiona bonge la handsome lakini kuna vingine nikijiangalia mpaka najiogopa kwa kweli
Nafuatilia mada zako unaonekana unatatizo la mfumo wa kufikiria.Kivipi?
Usipojua unachokifikiria huwezi kujua utakachokisema.Wewe ndio mtoto
Huyu c ndo alisema ana supply 5 kati ya 8?Nafuatilia mada zako unaonekana unatatizo la mfumo wa kufikiria.
Ushauri:
Jaribu kuwa siriasi kwa kila ulifanyalo Kama mwanaume.
Huyo huyo aliomba ushauri kuwa asome PCM AU PCB. Kumaanisha alifaulu masomo ya sayansi.Huyu c ndo alisema ana supply 5 kati ya 8?
Ndio mimi kwani inahusiana vipi na masuala ya vioo?Huyu c ndo alisema ana supply 5 kati ya 8?
Wewe unayejua inapaswa utuambieHuyo huyo aliomba ushauri kuwa asome PCM AU PCB. Kumaanisha alifaulu masomo ya sayansi.
Leo hata hajui namna kioo kinavyoweza kuathiri taswira ya kitu.
Ni aibu mwanaume kila Mara kuwa na Mzaha.
Samahan nlitaka kufaham tu umejipangaje na hzo suppl?,Ndio mimi kwani inahusiana vipi na masuala ya vioo?